Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
- Thread starter
- #21
Vijana wa KiumeWakaka ndo kina nani? Saluni ya kiume kuwa na wahudumu wanaume na waoshaji wanawake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wa KiumeWakaka ndo kina nani? Saluni ya kiume kuwa na wahudumu wanaume na waoshaji wanawake.
KabisaUmeona eenhh?!!,Yaani wee acha tu.
Za kupatiwa Happy ending Lol 🤸🏻♂️🤸🏻♂️Dalili za nini boss?.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Raha sana kichwa para linapigwa massage mpaka unajisahau Kwa muda kama upo hai!
Okey. Huwa unapendelea hao. Sawa boss.Vijana wa Kiume
Mkuu Asante kwa Ushauri.Lkn usihukumu Kwasababu wengi wao ukiwauliza wanakuwa wamepitia Changamoto za kimaisha,pia wapo wanaojiheshimu.wanafanya hivyo na hawajavaa groves. ni hatari sio kwao tu ila na kwako pia, ukijua wao wameshajisusa, hawajali na wako tayari kwa lolote, wameuza papa wee na wameshaharibikiwa, na wapo pale kwa ajili ya kukubembeleza na kukucare ili uchukue namba yao siku wapo off au usiku uwachukue. Mungu awasaidie. hakuan mpiga scrub asiye malaya, hajawahi kutokea.
Hapana mkuuHuyu anaonekana ndo zake, sema anaficha [emoji23][emoji23]
Hapana mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Sema umepewa na Happy Ending mjomba[emoji28][emoji28]
Mhhhh!!, mbona unaniwekea maneno mkuu?Okey. Huwa unapendelea hao. Sawa boss.
Si anajisafisha mkuu?!!.Usaha [emoji102] na anafanya hivyo mikono mitupu na mwingine na mwingine [emoji37]
Ah! wapi.Za kupatiwa Happy ending Lol [emoji2225][emoji2225]
[emoji23][emoji23][emoji23],Ulifanyaje sasa?.Kuna limshangazi fulani corporate lilinipiga kiss ghafla bin vuu wakati wa kuosha nywele
NB
Ni single mother
Na wamekaa kimitego mitegowanafanya hivyo na hawajavaa groves. ni hatari sio kwao tu ila na kwako pia, ukijua wao wameshajisusa, hawajali na wako tayari kwa lolote, wameuza papa wee na wameshaharibikiwa, na wapo pale kwa ajili ya kukubembeleza na kukucare ili uchukue namba yao siku wapo off au usiku uwachukue. Mungu awasaidie. hakuan mpiga scrub asiye malaya, hajawahi kutokea.
Ndio kazi yake inayompa kula wewe nyanya zako hapo gengeni kwako zikioza hua unazionea kinyaa?Hakika nawashukuru sana dada zetu Wapendwa wa Saluni za kiume kwa Huduma yenu,pasipo kinyaa.
🥴🤮Usaha 👀 na anafanya hivyo mikono mitupu na mwingine na mwingine 😖
Namaanisha unapendelea vijana wa kiume wawepo na mabinti. Si ndivyo ulivyosema boss?Mhhhh!!,Mbona unaniwekea Maneno mkuu?
Hiyo saloon iko wapi mkuu?Wakuu habari za jioni?,mimi Napenda sana kunyoa Kwenye Saluni ambazo zinahudumiwa na wakaka Pamoja na wadada.Huwa najisikia Vizuri sana ninapomaliza kunyoa...
Nilitulia tu Mkuu,walikuwa wadada wawili na mimi niko na jamaa yangu mule,badae nikachukua number[emoji23][emoji23][emoji23],Ulifanyaje sasa?.