Kuna jengo kubwa sana jipya pale sinza mall mkono wa kulia kama unaelekea mwenge biashara za pale uwa sielewi watu wanapataje faida make niliwai kushinda pale week mfullizo huoni wateja wakija kuchukua bidhaaa ghorofa ya pili na ya tatu ila watu daily wap
Mostly ni saloon, na maduka ya nguoMaduka ya nguo au? ao ni unga.
Ukweli mchungu ambao hausemwi !Ukweli unauma ila unaponya. Hapa ilitakiwa "IRS" ya bongo ihusike kufuatilia hizi mambo, lakini wadau hususan wahusika wanaona ni kama kufuatiliana hivi[emoji3][emoji3][emoji3]
Wadau wengine wametaja money laundering, ila mi najua kuna biashara kongwe inaendelea ndani ya hizo biashara.
Kuna kamanzi tunapiga nacho mishe, kalinionyesha chats zake na rafiki yake wa kike mmoja wa wamiliki wa hizo fremu, nikasema duuuh!!!!
Hatusemi wote wanafanya money laundering au biashara kongwe, ila wapo wanaozugia hizo fremu hapa town.
This is out of context madam, please tunaomba mchango wako katika hii mada, wewe jukwaani hapa unajulikana kwa mawazo chanya kabisaa.....Bila shaka unatamani nawe kuwa mwanamke.....
Ufungue duka, ukae na mashost zako, mle mnywe....
Ni kweli anadeal na yake ila lakini haimnyimi kuwaza ama kushangaa.....kama angeenda kuwahoji basi tungesema anafuatilia mambo yao.......Mambo yao waachie wenyewe deal na yako
"Mabwana" wapo wengi, na wewe anza kujiuza kama ni wepesi.Unakuta,
Mdada kakodi fremu kodi 1m, kaweka vigauni na madela, ukipiga hesabu yake vigauni kama 7, na Madela 15 jumla haifiki mtaji wa 1M anashinda hapo kila siku.
Mashoga zake wanamtembelea hapo ni mwendo wa kuagiza misosi na vinywaji ki pub cha jiran, nje kapaki IST yake safi kabisa, jioni huyo anaenda kwake, unakuta biashara ngumu lakini anakomaa hivyo hivyo, kuna nini nyuma ya pazia? Au ndo masponsa?
Unakuta mdada kakodi fremu kaweka vyupi pc kadhaa, bra pc kadhaa na pochi kama 10 tu kamaliza. Anashinda hapo biashara hamna na ukimuona mdada mwenyewe high class. Ama kweli dunia ina mambo!
Unakuta mdada kafungua saloon, anashinda ti huko na mashoga zake lakini hakuna kinachofanyika humo ndani na still life going on.
Hasa maeneo haya ya mijini unakuta mdada kafungua let's say bakery, hamna movement zozote lakn kila siku yumo, na kodi ikiisha italipwa ya mwaka. Kuna nini behind?
Kuna mahali nina kiofisi mjini mjini hivi, Jirani yangu ni mdada wa makamo 40's ni zile types za wadada ambao hawazeeki, full kupendeza, sunglasses n.k. Tuwaite mishangazi.
Ni jirani nikimaanisha fremu zetu zimefatana. Kachukua frem mbili kavunja kati ikawa moja kubwa, kaweka mini supermarket nzuri ya kisasa mzigo wa kutosha, kafunga Ac, milango aluminium, pana muonekano mzuri. Hana mfanyakazi anauza yeye mwenyewe, pia ana harrier hizi wanaziita matako ya nyani, hamna biashara kabisa. Kwa siku ameuza sana haizidi laki moja, nadhani watu wanapaogopa kulingana na muonekano wanahisi vitu ni bei Sana.
Mashoga zake wanakuja ni kujiagizia pombe tu na vyakula, akijisikia hata saa 8 mchana anafunga anaondoka, weekend anafunga muda wowote ule.
Mifano ni mingi iliyo hai, wanawake na hizi biashara ni kama geresha, au ni pakuzugia tu wana migodi yao wanayochimba pesa (mabwana ).
Unanpaka mafuta kwa mgongo wa chupa sio.....This is out of context madam, please tunaomba mchango wako katika hii mada, wewe jukwaani hapa unajulikana kwa mawazo chanya kabisaa.....
Hapana Evelyn siyo kupaka mafuta ......wewe kila nikisoma michango yako huwa kuna kitu napata kitu. Ila katika hili umejibu very personal kabisaaUnanpaka mafuta kwa mgongo wa chupa sio.....
Mchango wangu ni kwamba huu ni udaku
Sasa mzee baba mtu akifungua biashara yake we inafikiaje hadi ujue kwa siku anauza chini ya laki?Hapana Evelyn siyo kupaka mafuta ......wewe kila nikisoma michango yako huwa kuna kitu napata kitu. Ila katika hili umejibu very personal kabisaa
elewa mstari wa kwanza wa sentensi yanguEne wei,,,naona umepambana kinoma kuwatafutia engo ya kuwatetea
Huyu mdau kaleta mada fikirishi tu.....na sidhani kupitia andiko lake usalama wa taifa na serikali kwa ujumla itaenda kuwafungia biashara hao dada zetu.Sasa mzee baba mtu akifungua biashara yake we inafikiaje hadi ujue kwa siku anauza chini ya laki?
Wewe ndo unajidai upo kwenye swaumu ama unashinda njaa ? Kulikuwa na sababu ya comment yako hapa au umeamua tu kuonekana na wewe unakomenti ? ,,, ! Mama yangu ameingiaje hapa ? Ushazeeka kutwa kujibishana na vijana kwenye mitandao , kaa lea wajukuu ! bladifakini"Mabwana" wapo wengi, na wewe anza kujiuza kama ni wepesi.
Nakushauri uanze kumuuliza mama'ko, alikulea kwa biashara ipi?
Dunia ina mengi sana ,,, tuendelee kuishiMaswali muhimu umeyauliza ila jambo la maana ni kuwa duniani kuna mengi?
Mama wa wenzako hujawaona ulipokuwa unaandika? Au mama ni wako tu?Wewe ndo unajidai upo kwenye swaumu ama unashinda njaa ? Kulikuwa na sababu ya comment yako hapa au umeamua tu kuonekana na wewe unakomenti ? ,,, ! Mama yangu ameingiaje hapa ? Ushazeeka kutwa kujibishana na vijana kwenye mitandao , kaa lea wajukuu ! bladifakini
Sijibizani na vibibi vizee kalee wajukuuMama wa wenzako hujawaona ulipokuwa unaandika? Au mama ni wako tu?