Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

Kaka Yangu alioa mwanamke akamwambia kapata mkopo

nipeleke nijue ulipochukua ola

akafika SIKU kamwambia amefungua duka anachukua nguo krkoo anauza mwenge ....

akakaa kimya SIKU akamnyatia MPAKA mwenge akakuta ana duka limejaa mzigo WA hataree.

akaamua kukesha nae wakiuza...kaja jamaa kibopa kauliza huyuu nani

Binti akamwambia sorry sikuwahi kwambia niliwahi kuolewa

mumee taharuki eehe huyu nani....kikaumana wakaishiaa talaka

jamaa akamtimua Binti anauza mitumba karume saahizi.....

Kuombeana TU wote tuna mapungufu

Hatari sana mkuu
 
[emoji23]
Kuna mmoja anauza mahitaji ya nyumbani Hapo tabata side ya kitamba cheupe yani apo uki jumlisha vitu vyote imezid sana ni Laki 5

Sasa Uyo dem ana tumia iphone 15[emoji23]


ni ana shape balaa[emoji23][emoji1787] unaweza enda kununua pipi ukajikuta hubebi chenji
Mjini msingi kiuno,,,,huyo anajua kujiongeza
 
nimecheka sana hapa kwa sauti kubwa alafu usiku huu, jirani yangu morogoro naye alikuwa hivyohivyo...aliweka jeans za kiume na tshirts nje anapaki IST, mtaa wetu biashara haina mzunguko mkubwa ila alikuwa anapambana mimi nilikuwa simuelewi maana hakuolewa kapanga nyumba na fremu kapanga jamani mjini kuna vituko sana ndio maana tunachelewa kuzeeka...
 
tukiachana na nadharia za kila siku: wengine watoto wa ma don/watu wazito
kuna wajane wa early 40 ukute marehemu amemwachia fungu!
wengine waume zao wana migodi huko/ wahujumu uchumi
mambo ni mengi ndugu zangu maisha hayafanani
Ene wei,,,naona umepambana kinoma kuwatafutia engo ya kuwatetea
 
nimecheka sana hapa kwa sauti kubwa alafu usiku huu, jirani yangu morogoro naye alikuwa hivyohivyo...aliweka jeans za kiume na tshirts nje anapaki IST, mtaa wetu biashara haina mzunguko mkubwa ila alikuwa anapambana mimi nilikuwa simuelewi maana hakuolewa kapanga nyumba na fremu kapanga jamani mjini kuna vituko sana ndio maana tunachelewa kuzeeka...
Hatr alafu ukute frem hela ndefu ,,,, mfano huyu jiran yangu mwenye min super market frem imechangamka bei balaa,,,,ni katikati ya mji,,,, yeye kachukua 2 katoboa kati kaunganisha ikAwa moja kubwa,,,,lakn anachofanya humo kama biashara hakieleweki ,,,, !
 
Unakuta,

Mdada kakodi fremu kodi 1m, kaweka vigauni na madela, ukipiga hesabu yake vigauni kama 7, na Madela 15 jumla haifiki mtaji wa 1M anashinda hapo kila siku.

Mashoga zake wanamtembelea hapo ni mwendo wa kuagiza misosi na vinywaji ki pub cha jiran, nje kapaki IST yake safi kabisa, jioni huyo anaenda kwake, unakuta biashara ngumu lakini anakomaa hivyo hivyo, kuna nini nyuma ya pazia? Au ndo masponsa?

Unakuta mdada kakodi fremu kaweka vyupi pc kadhaa, bra pc kadhaa na pochi kama 10 tu kamaliza. Anashinda hapo biashara hamna na ukimuona mdada mwenyewe high class. Ama kweli dunia ina mambo!

Unakuta mdada kafungua saloon, anashinda ti huko na mashoga zake lakini hakuna kinachofanyika humo ndani na still life going on.

Hasa maeneo haya ya mijini unakuta mdada kafungua let's say bakery, hamna movement zozote lakn kila siku yumo, na kodi ikiisha italipwa ya mwaka. Kuna nini behind?

Kuna mahali nina kiofisi mjini mjini hivi, Jirani yangu ni mdada wa makamo 40's ni zile types za wadada ambao hawazeeki, full kupendeza, sunglasses n.k. Tuwaite mishangazi.

Ni jirani nikimaanisha fremu zetu zimefatana. Kachukua frem mbili kavunja kati ikawa moja kubwa, kaweka mini supermarket nzuri ya kisasa mzigo wa kutosha, kafunga Ac, milango aluminium, pana muonekano mzuri. Hana mfanyakazi anauza yeye mwenyewe, pia ana harrier hizi wanaziita matako ya nyani, hamna biashara kabisa. Kwa siku ameuza sana haizidi laki moja, nadhani watu wanapaogopa kulingana na muonekano wanahisi vitu ni bei Sana.

Mashoga zake wanakuja ni kujiagizia pombe tu na vyakula, akijisikia hata saa 8 mchana anafunga anaondoka, weekend anafunga muda wowote ule.

Mifano ni mingi iliyo hai, wanawake na hizi biashara ni kama geresha, au ni pakuzugia tu wana migodi yao wanayochimba pesa (mabwana ).
Weee jamaaa .. Dar wadada wengi ni Malaya wa Telegram
Trust me.
 
Unakuta,

Mdada kakodi fremu kodi 1m, kaweka vigauni na madela, ukipiga hesabu yake vigauni kama 7, na Madela 15 jumla haifiki mtaji wa 1M anashinda hapo kila siku.

Mashoga zake wanamtembelea hapo ni mwendo wa kuagiza misosi na vinywaji ki pub cha jiran, nje kapaki IST yake safi kabisa, jioni huyo anaenda kwake, unakuta biashara ngumu lakini anakomaa hivyo hivyo, kuna nini nyuma ya pazia? Au ndo masponsa?

Unakuta mdada kakodi fremu kaweka vyupi pc kadhaa, bra pc kadhaa na pochi kama 10 tu kamaliza. Anashinda hapo biashara hamna na ukimuona mdada mwenyewe high class. Ama kweli dunia ina mambo!

Unakuta mdada kafungua saloon, anashinda ti huko na mashoga zake lakini hakuna kinachofanyika humo ndani na still life going on.

Hasa maeneo haya ya mijini unakuta mdada kafungua let's say bakery, hamna movement zozote lakn kila siku yumo, na kodi ikiisha italipwa ya mwaka. Kuna nini behind?

Kuna mahali nina kiofisi mjini mjini hivi, Jirani yangu ni mdada wa makamo 40's ni zile types za wadada ambao hawazeeki, full kupendeza, sunglasses n.k. Tuwaite mishangazi.

Ni jirani nikimaanisha fremu zetu zimefatana. Kachukua frem mbili kavunja kati ikawa moja kubwa, kaweka mini supermarket nzuri ya kisasa mzigo wa kutosha, kafunga Ac, milango aluminium, pana muonekano mzuri. Hana mfanyakazi anauza yeye mwenyewe, pia ana harrier hizi wanaziita matako ya nyani, hamna biashara kabisa. Kwa siku ameuza sana haizidi laki moja, nadhani watu wanapaogopa kulingana na muonekano wanahisi vitu ni bei Sana.

Mashoga zake wanakuja ni kujiagizia pombe tu na vyakula, akijisikia hata saa 8 mchana anafunga anaondoka, weekend anafunga muda wowote ule.

Mifano ni mingi iliyo hai, wanawake na hizi biashara ni kama geresha, au ni pakuzugia tu wana migodi yao wanayochimba pesa (mabwana ).
Kachunguze je tundu zake mbili zote ziko salama?
 
Unakuta,

Mdada kakodi fremu kodi 1m, kaweka vigauni na madela, ukipiga hesabu yake vigauni kama 7, na Madela 15 jumla haifiki mtaji wa 1M anashinda hapo kila siku.

Mashoga zake wanamtembelea hapo ni mwendo wa kuagiza misosi na vinywaji ki pub cha jiran, nje kapaki IST yake safi kabisa, jioni huyo anaenda kwake, unakuta biashara ngumu lakini anakomaa hivyo hivyo, kuna nini nyuma ya pazia? Au ndo masponsa?

Unakuta mdada kakodi fremu kaweka vyupi pc kadhaa, bra pc kadhaa na pochi kama 10 tu kamaliza. Anashinda hapo biashara hamna na ukimuona mdada mwenyewe high class. Ama kweli dunia ina mambo!

Unakuta mdada kafungua saloon, anashinda ti huko na mashoga zake lakini hakuna kinachofanyika humo ndani na still life going on.

Hasa maeneo haya ya mijini unakuta mdada kafungua let's say bakery, hamna movement zozote lakn kila siku yumo, na kodi ikiisha italipwa ya mwaka. Kuna nini behind?

Kuna mahali nina kiofisi mjini mjini hivi, Jirani yangu ni mdada wa makamo 40's ni zile types za wadada ambao hawazeeki, full kupendeza, sunglasses n.k. Tuwaite mishangazi.

Ni jirani nikimaanisha fremu zetu zimefatana. Kachukua frem mbili kavunja kati ikawa moja kubwa, kaweka mini supermarket nzuri ya kisasa mzigo wa kutosha, kafunga Ac, milango aluminium, pana muonekano mzuri. Hana mfanyakazi anauza yeye mwenyewe, pia ana harrier hizi wanaziita matako ya nyani, hamna biashara kabisa. Kwa siku ameuza sana haizidi laki moja, nadhani watu wanapaogopa kulingana na muonekano wanahisi vitu ni bei Sana.

Mashoga zake wanakuja ni kujiagizia pombe tu na vyakula, akijisikia hata saa 8 mchana anafunga anaondoka, weekend anafunga muda wowote ule.

Mifano ni mingi iliyo hai, wanawake na hizi biashara ni kama geresha, au ni pakuzugia tu wana migodi yao wanayochimba pesa (mabwana ).
Kuna mabwege wanalipa bills in exchange 4 uteleziiiiiiiiii
 
Asilimia kubwa ukichunguza hizo hela za mtaji utakuta nyingi za kutakatisha yan utakuta anasponyo wake anauza madawa, au anafanya biashara haram halipi kodi, magendo kama Uuzwaji madini kiholela nje ya nchi, Counterfeit yan uuzwaji wa Vitu Bandia au ndo hao wanasiasa kama wabunge wanaolipwa 18m au kutumia pesa za mifuko ya jimbo mil40 kwa mwezi kuhongea hao dada zetu au hela za elephant project kama hela za Madarasa ya Covid za nchi yetu yan kimsingi mambo ni mengi alafu utashangaa kuna TAKUKURU,TISS JESHI,POLISI, MAHAKAMA Yani kiuhalisia mambo machafu ni mengi sana. Yan hata biashara ya kuuza watu naimani Human Traficking naiman itakua inafanyika ila kisirisiri sana
 
Sio wanawake tu, bali pia Wanaume....kuna watu wanafanya Kazi ambayo akiulizwa anafanya kazi gani hawezi kujibu hilo swali, sasa ili aweze kukujibu anazugia kwenye biashara,na mara nyingi hata customer care yake inakuwa mbovu sana, yaani mteja ukaingia na NYODO zako, umekwisha,... unaweza pata hata KOFI kama sio tusi,.....😂, hao kwao mteja sio mfalme kabisaaaaa.... mjini AKILI
 
Back
Top Bottom