Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

Umenikumbusha mzee mmoja alikuwa na taxi....muda wote kapaki kwenye kijiwe cha gahwa...anaifutafuta gari yake...mtu akitaka kukodi hasa vijana anakataa.....kumbe alfajiri ameshapiga dili zake za kusambaza chang'aa...hivyo basi kwa hao wa maduka...si ajabu ngada.
Ganga ama msingi kiuno
 
Unakuta,

Mdada kakodi fremu kodi 1m, kaweka vigauni na madela, ukipiga hesabu yake vigauni kama 7, na Madela 15 jumla haifiki mtaji wa 1M anashinda hapo kila siku.

Mashoga zake wanamtembelea hapo ni mwendo wa kuagiza misosi na vinywaji ki pub cha jiran, nje kapaki IST yake safi kabisa, jioni huyo anaenda kwake, unakuta biashara ngumu lakini anakomaa hivyo hivyo, kuna nini nyuma ya pazia? Au ndo masponsa?

Unakuta mdada kakodi fremu kaweka vyupi pc kadhaa, bra pc kadhaa na pochi kama 10 tu kamaliza. Anashinda hapo biashara hamna na ukimuona mdada mwenyewe high class. Ama kweli dunia ina mambo!

Unakuta mdada kafungua saloon, anashinda ti huko na mashoga zake lakini hakuna kinachofanyika humo ndani na still life going on.

Hasa maeneo haya ya mijini unakuta mdada kafungua let's say bakery, hamna movement zozote lakn kila siku yumo, na kodi ikiisha italipwa ya mwaka. Kuna nini behind?

Kuna mahali nina kiofisi mjini mjini hivi, Jirani yangu ni mdada wa makamo 40's ni zile types za wadada ambao hawazeeki, full kupendeza, sunglasses n.k. Tuwaite mishangazi.

Ni jirani nikimaanisha fremu zetu zimefatana. Kachukua frem mbili kavunja kati ikawa moja kubwa, kaweka mini supermarket nzuri ya kisasa mzigo wa kutosha, kafunga Ac, milango aluminium, pana muonekano mzuri. Hana mfanyakazi anauza yeye mwenyewe, pia ana harrier hizi wanaziita matako ya nyani, hamna biashara kabisa. Kwa siku ameuza sana haizidi laki moja, nadhani watu wanapaogopa kulingana na muonekano wanahisi vitu ni bei Sana.

Mashoga zake wanakuja ni kujiagizia pombe tu na vyakula, akijisikia hata saa 8 mchana anafunga anaondoka, weekend anafunga muda wowote ule.

Mifano ni mingi iliyo hai, wanawake na hizi biashara ni kama geresha, au ni pakuzugia tu wana migodi yao wanayochimba pesa (mabwana ).
Mume ni kichwa cha mwanamke, usiowaone wapo wenyewe wenyewe kuna vichwa somewhere vinafanya mambo hata kama vichwa hivyo sio vyao officially.
 
Jmosi iliyopita nilikuwa ARUSHA na NDUGU Yangu ametoka nje...akaantoa nje shika 200"000 we tutumie br. Nkaweka 40 kushoto kwanza

wakaja madada wazuri wastaarabu akawapa ofa zikazungushwa fly. ...na savanna ...mmmh nilipoona awalewi nkastop kunywa pombe nkahisi awachrlewi kutupiga.

Moja akanifwata kiustaarabu nimependa upendo wenu naonba namba yako nkampa


asbh nkakutana na msg .mmefika salama...NDIO.... Can I tell u something mmmh nkazima kwa mda nkataman ntoe na betri

baadae straight akaandika kaka na biashara Yangu naonba msaada WA capital ........

nkamjibu sorry si tunapita TU Wala atuna uwezo WA kumpa mtu mtaji

kama kula kunywa MPAKA tuondoke ok

ajajibu MPAKA tumeondoka......

so imagine anakutana na famba anampa hela anakula mzigo mwezi mzima

Hawa sio mbona
 
Kuna jengo kubwa sana jipya pale sinza mall mkono wa kulia kama unaelekea mwenge biashara za pale uwa sielewi watu wanapataje faida make niliwai kushinda pale week mfullizo huoni wateja wakija kuchukua bidhaaa ghorofa ya pili na ya tatu ila watu daily wapo
Mji una mengi sana mkuu ,,,, !
 
Jmosi iliyopita nilikuwa ARUSHA na NDUGU Yangu ametoka nje...akaantoa nje shika 200"000 we tutumie br. Nkaweka 40 kushoto kwanza

wakaja madada wazuri wastaarabu akawapa ofa zikazungushwa fly. ...na savanna ...mmmh nilipoona awalewi nkastop kunywa pombe nkahisi awachrlewi kutupiga.

Moja akanifwata kiustaarabu nimependa upendo wenu naonba namba yako nkampa


asbh nkakutana na msg .mmefika salama...NDIO.... Can I tell u something mmmh nkazima kwa mda nkataman ntoe na betri

baadae straight akaandika kaka na biashara Yangu naonba msaada WA capital ........

nkamjibu sorry si tunapita TU Wala atuna uwezo WA kumpa mtu mtaji

kama kula kunywa MPAKA tuondoke ok

ajajibu MPAKA tumeondoka......

so imagine anakutana na famba anampa hela anakula mzigo mwezi mzima

Hawa sio mbona
Hizi type zimejaa sana kaka
 
Kaka Yangu alioa mwanamke akamwambia kapata mkopo

nipeleke nijue ulipochukua ola

akafika SIKU kamwambia amefungua duka anachukua nguo krkoo anauza mwenge ....

akakaa kimya SIKU akamnyatia MPAKA mwenge akakuta ana duka limejaa mzigo WA hataree.

akaamua kukesha nae wakiuza...kaja jamaa kibopa kauliza huyuu nani

Binti akamwambia sorry sikuwahi kwambia niliwahi kuolewa

mumee taharuki eehe huyu nani....kikaumana wakaishiaa talaka

jamaa akamtimua Binti anauza mitumba karume saahizi.....

Kuombeana TU wote tuna mapungufu

 
Back
Top Bottom