Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawatumiaje mkuu ongeza nyama kidogo
Bila shaka mkuuUkiona hivyo ujue Kuna kiungo cha mwili kinachakazwa hata kama sura ina ng'aa.
Niko poa pia mwanadadaNi hatari sana.
Niko poa brother sijui ww
Kinondoni, Sinza, Magomeni iache kama ilivyopale kinondoni maduka ya nguo full ac na kodi zipo juu ila cha kushangaza wafanyakazi wanatumia iphone na bichi kidumbwi utawaona jioni
Madanga zao ndio watanunua....Mkuu Uwe unanunuwa bidhaa zao kuwaunga mkono.
Wengi wanapenda mambo marahisi tuNi changamoto sana kwa baadhi yao, sio rahisi hata kidogo mkuu. Tuishie hapo, tuzidi kuombeana na kuwaombea binti zetu coz hakuna anayetaka maisha magumu.
Atafute hela bana na aache umbea ni hayo tuRoho mbaya sana hii, jikite kwenye hoja na sio kutumia Browning Machine Gun kumuua adui mwenye kisu
Nafight mwenyewe ndo maana nimepanga next to min super marketachana nao. tupo wawezeshaji. vp tukuwezeshe?
Biashara ya supermarket afu anafunga funga kila muda si vitaexpire sasa kila siku atakuwa anatupa
Ni njia mpya ya kujiuza, akikaa hapo ataonekana na pia atajipost mtandaoni kuwa anauza nguo na blabla kibao ili wanaume tumuoneInaweza ikawa njia ya kutakatisha pesa
Nimewaza tu
Biashara zina siri kubwaThe hardest thing about the business is minding your own....
Sure mkuuImaana Kuna wanaume wenzetu wanahonga mamillioni?
ISHI NAO kwa akiliuwezi kuwaiga haoUnakuta,
Mdada kakodi fremu kodi 1m, kaweka vigauni na madela, ukipiga hesabu yake vigauni kama 7, na Madela 15 jumla haifiki mtaji wa 1M anashinda hapo kila siku.
Mashoga zake wanamtembelea hapo ni mwendo wa kuagiza misosi na vinywaji ki pub cha jiran, nje kapaki IST yake safi kabisa, jioni huyo anaenda kwake, unakuta biashara ngumu lakini anakomaa hivyo hivyo, kuna nini nyuma ya pazia? Au ndo masponsa?
Unakuta mdada kakodi fremu kaweka vyupi pc kadhaa, bra pc kadhaa na pochi kama 10 tu kamaliza. Anashinda hapo biashara hamna na ukimuona mdada mwenyewe high class. Ama kweli dunia ina mambo!
Unakuta mdada kafungua saloon, anashinda ti huko na mashoga zake lakini hakuna kinachofanyika humo ndani na still life going on.
Hasa maeneo haya ya mijini unakuta mdada kafungua let's say bakery, hamna movement zozote lakn kila siku yumo, na kodi ikiisha italipwa ya mwaka. Kuna nini behind?
Kuna mahali nina kiofisi mjini mjini hivi, Jirani yangu ni mdada wa makamo 40's ni zile types za wadada ambao hawazeeki, full kupendeza, sunglasses n.k. Tuwaite mishangazi.
Ni jirani nikimaanisha fremu zetu zimefatana. Kachukua frem mbili kavunja kati ikawa moja kubwa, kaweka mini supermarket nzuri ya kisasa mzigo wa kutosha, kafunga Ac, milango aluminium, pana muonekano mzuri. Hana mfanyakazi anauza yeye mwenyewe, pia ana harrier hizi wanaziita matako ya nyani, hamna biashara kabisa. Kwa siku ameuza sana haizidi laki moja, nadhani watu wanapaogopa kulingana na muonekano wanahisi vitu ni bei Sana.
Mashoga zake wanakuja ni kujiagizia pombe tu na vyakula, akijisikia hata saa 8 mchana anafunga anaondoka, weekend anafunga muda wowote ule.
Mifano ni mingi iliyo hai, wanawake na hizi biashara ni kama geresha, au ni pakuzugia tu wana migodi yao wanayochimba pesa (mabwana ).
Mchana ugali mbuzi ama samaki makange wanashushia windhoek baridi ! Iga ufepale kinondoni maduka ya nguo full ac na kodi zipo juu ila cha kushangaza wafanyakazi wanatumia iphone na bichi kidumbwi utawaona jioni
Hapo kwenye bila kujali anazipataje umemaliza kila kituHakuna anayependa maisha magumu,
Muhimu ni wao kufurahia maisha yao,
Sio rahisi kua na hayo maduka, kumaintain hayo maisha
Kama unabisha fungua wewe!....
Naheshimu sana mtu anayetafuta pesa bila kujali anazipataje...
Na hausemwi popote, ,, akiwa na ndg jamaa anajidai ana biashara kumbe mdangaji tu mjiniHiyo duka ni zuga tu, wengi wao uchumi wao ni dudu zao. Huu ni ukweli mchungu
Hawachukui cha mtu bila ridhaa ! Umemaliza mkuuKila mtu ana mtindo wake wa namna ya kufanya maisha yake yaende kilingana na matakwa na vionjo vyake, mazingira yanaweza kuwa sawa ila kila mmoja wetu amejaliwa namna yake ya kuendesha maisha yake kulingana na mazingira yake.
Mwisho wa yote anapata riziki yeye na wanaomtegemea .
Wabarikiwe sana wadada wapambanaji haidhuru aina ya wanachofanya jamii itawaonaje maadamu tu hawachukui cha mtu bila ridhaa.