Wadada wamezidi kuomba pesa

Wadada wamezidi kuomba pesa

Melancholic

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
3,076
Reaction score
5,483
Kiukweli hali ni mbaya, dada zetu wanaomba pesa kupitiliza. Hebu fikiria mtu hujamtongoza, ni yale mazoea tu ya kawaida lakini kila muda kwako ujumbe unaingia wa kuombwa pesa tu.

Mwengine hujamtongoza na anataka umlipie kodi na hapo hapo simu yake Oppo imevunjika kioo inatakiwa 100k. Hivyo vyote nimepewa mimi kisa tu ni kwamba nilionesha yale mazingira ya kumuhitaji kwa kipindi cha nyuma.

Nilivyoona naanza kuegemewa nikafuta huo mpango, ila sasa pamoja na kufuta huo mpango bado ananing'ang'ania, ananipiga vibomu kila saa utadhani mimi mume wake.

Hivi mtu huyu nimfanyeje?
 
Mkuu nipe namba zake matatzo kusaidizana[emoji41][emoji41] mtu mwenyew anaomba mpaka elfu 2 huyu hawez omba Lak 2
Mkuu usijichanganye, saizi wamekuja na mbinu ya kuchuna kidogo kidogo yaani hizo elfu mbili ndani ya mwezi ukipiga hesabu Kama ni mtoaji mzuri inazidi laki maana huwa inaambatana na vijihela vya hapa na pale
 
Jichanganye uone hiyo elfu mbili ni ya kuzugia tu ili ujichanganye uombe mbususu halafu ushushiwe rundo la matatzo
Mkuu hujui muulze direct umuandalie Bei gan? Unapga unampa chake anakuwa kakuuzia usipende kuweka mahusiano ndo yanawaumiza Bora ulipe laki siku moja lakn ukitoka hapo hakuna sms za vibomu
 
Mkuu hujui muulze direct umuandalie Bei gan? Unapga unampa chake anakuwa kakuuzia usipende kuweka mahusiano ndo yanawaumiza Bora ulipe laki siku moja lakn ukitoka hapo hakuna sms za vibomu
Mkuu hujui muulze direct umuandalie Bei gan? Unapga unampa chake anakuwa kakuuzia usipende kuweka mahusiano ndo yanawaumiza Bora ulipe laki siku moja lakn ukitoka hapo hakuna sms za vibomu
Hapo umenena mkuu
 
Back
Top Bottom