Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Jichanganye uone hiyo elfu mbili ni ya kuzugia tu ili ujichanganye uombe mbususu halafu ushushiwe rundo la matatzoMkuu nipe namba zake matatzo kusaidizana[emoji41][emoji41] mtu mwenyew anaomba mpaka elfu 2 huyu hawez omba Lak 2
Mkuu usijichanganye, saizi wamekuja na mbinu ya kuchuna kidogo kidogo yaani hizo elfu mbili ndani ya mwezi ukipiga hesabu Kama ni mtoaji mzuri inazidi laki maana huwa inaambatana na vijihela vya hapa na paleMkuu nipe namba zake matatzo kusaidizana[emoji41][emoji41] mtu mwenyew anaomba mpaka elfu 2 huyu hawez omba Lak 2
Mkuu hujui muulze direct umuandalie Bei gan? Unapga unampa chake anakuwa kakuuzia usipende kuweka mahusiano ndo yanawaumiza Bora ulipe laki siku moja lakn ukitoka hapo hakuna sms za vibomuJichanganye uone hiyo elfu mbili ni ya kuzugia tu ili ujichanganye uombe mbususu halafu ushushiwe rundo la matatzo
Mpe 50k PGA sepa basiMkuu usijichanganye, saizi wamekuja na mbinu ya kuchuna kidogo kidogo yaani hizo elfu mbili ndani ya mwezi ukipiga hesabu Kama ni mtoaji mzuri inazidi laki maana huwa inaambatana na vijihela vya hapa na pale
Muache ajichanganye apigweMkuu usijichanganye, saizi wamekuja na mbinu ya kuchuna kidogo kidogo yaani hizo elfu mbili ndani ya mwezi ukipiga hesabu Kama ni mtoaji mzuri inazidi laki maana huwa inaambatana na vijihela vya hapa na pale
Hiyo angalau maana ukiwa mtoaji wa hizo elfu mbili kwasiku unaweza kulipa mpaka elf 8 Tena Kila jambo analokuletea linakua la muhimu kuliko lililopita.Mpe 50k PGA sepa basi
Mkuu hujui muulze direct umuandalie Bei gan? Unapga unampa chake anakuwa kakuuzia usipende kuweka mahusiano ndo yanawaumiza Bora ulipe laki siku moja lakn ukitoka hapo hakuna sms za vibomu
Hapo umenena mkuuMkuu hujui muulze direct umuandalie Bei gan? Unapga unampa chake anakuwa kakuuzia usipende kuweka mahusiano ndo yanawaumiza Bora ulipe laki siku moja lakn ukitoka hapo hakuna sms za vibomu
ACHA kabsa tabia za kuweka mahusiano utajikuta na vimada hata Saba na wote wanakupga mzinga same dayHapo umenena mkuu
Ukisema huna atakufunga kwan [emoji23]
Mtu anakuombaje hela mara mbili Kwa siku moja au ni uswaz sana na wote hamna kazi mnakuwa mmeshnda homeHiyo angalau maana ukiwa mtoaji wa hizo elfu mbili kwasiku unaweza kulipa mpaka elf 8 Tena Kila jambo analokuletea linakua la muhimu kuliko lililopita.
๐๐๐๐๐ alichukia sanaOmba-omba wa watu analia njaa alafu eti wewe unamjibu โwacha weeโ ๐