Kweli??! Tembelea JD PharmacySure..Hiyo issey miyake sijawahi kuiona..Ntaijaribu siku
Katika ubora wako. Ila leo kidooogo umetaja kitu cha bei ya kawaida[nime-google]
Kweli??! Tembelea JD Pharmacy
Katika ubora wako. Ila leo kidooogo umetaja kitu cha bei ya kawaida[nime-google]
Shemeji niazime perfume Yako.......[emoji85] [emoji85]
Daddy usisahau kuniletea na perfume boxini
Teh teh..Shem washa bluetooth nikutumie..Na we unapenda za kiume?Shemeji niazime perfume Yako.......[emoji85] [emoji85]
Usijali Douta..We deka tu..Mtt mwenyewe ndo upo peke yakoDaddy usisahau kuniletea na perfume boxini
Teh nashukuru daddy (nilijua utanidongoa na ile issue tena) hahahaUsijali Douta..We deka tu..Mtt mwenyewe ndo upo peke yako
Teh..Ile dozi kwa mwezi mara mojaTeh nashukuru daddy (nilijua utanidongoa na ile issue tena) hahaha
Hahaha em niache daddy, nisije nikahamishia zubeda langu kwa watu kinguvu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Teh..Ile dozi kwa mwezi mara moja
Haya bana..Ila ntakuwa nakukumbusha mara moja mojaHahaha em niache daddy, nisije nikahamishia zubeda langu kwa watu kinguvu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nipe 5,yani naitumia mwaka wa nne sasa na haichoshiKuna body spray ya sisi walalahoi iko poa sana inaitwa BELLAGIO...stamina,raven etc..buku sita tu.lakini ndo habari ya mjini kwasasa
BELLAGIO[emoji4]Kuna body spray ya sisi walalahoi iko poa sana inaitwa BELLAGIO...stamina,raven etc..buku sita tu.lakini ndo habari ya mjini kwasasa
Kumbe washabiki wa Bellagio tupo wengi!Simple but nice!BELLAGIO[emoji4]
Inanikumbusha wakati flani hii kituKumbe washabiki wa Bellagio tupo wengi!Simple but nice!