Wadada/Wanawake JF wapo!! Verification

FaizaFoxy hebu njoo huku mbona wewe hawakutaji au isijekuwa ni mbaba na shombo zote anazotoaga humu!
 
Hamna jinsi, nitakutafuta next year maana mwaka huu kwangu ulikuwa wa likizo....miezi 9 fulani hivi

Karibu sana mkuu
Sisi tunapambana na hali halisi ya mambo na unajua tena kumtaja aliye juu pale ni kosa la jinai tunakimbia sana
 
Yaani kiwatengu akitoa uzi ndani ya muda mfupi una page kuanzia 20 kuendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…