kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
Kabisa kaka....Karibu sana mkuu
Sisi tunapambana na hali halisi ya mambo na unajua tena kumtaja aliye juu pale ni kosa la jinai tunakimbia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kaka....Karibu sana mkuu
Sisi tunapambana na hali halisi ya mambo na unajua tena kumtaja aliye juu pale ni kosa la jinai tunakimbia sana
Itakuwa sio mimi kwakweli.Ndio....au
MmmmhhhWe dina umeatajwa na thread zako za kike na kiume
Mie mzima wa afya binamu yanguBinamu hujambo?
Hhhaaaadina hebu nitumie kapicha maana jana wamekusema sana ila bado sijaamini walichosema
Ndio hivyoKuna sehemu nimeona unasema umempa mimba mtu wewe. Nna wasiwas utakua aina ya Kina Kongosho....hahaaa
Kumbe nawe ni wale waleMimi najijua jinsia yangu tu
Wewe umekosa shahidikwaiyo mm mwanaume
Weee mi jikeMbona hujamtaja Dinazarde mkuu???[emoji32]
Kim nana unamfaham?Nanaa wala siyo ke bali ni ID yangu ya pili mkuu![emoji1]
Nami sijawekwa mkuu?Wewe umekosa shahidi
mi mbongo nna watoto wawiliEeeh
Halaf madonna ana watoto wa 5
[emoji28] hivi wew utajitetea nn
Nitafute, nikukague.....!we sawa nakubali!
haya ngoja tukaguaneNitafute, nikukague.....!
Kaka hata ukijaribu ndere??? [emoji13] [emoji13]Mnafanyafanyaje mpaka wanakubali muonane? Mi mbona hawataki[emoji30] [emoji30] [emoji31] [emoji31] [emoji24] [emoji24] [emoji24]