Wadada/Wanawake JF wapo!! Verification

Wadada/Wanawake JF wapo!! Verification

mkuu, we hatari na mfukunyukuu , japokuwa wametumia ID complicated but umesha meet nao, but naskia PM zao zimefungwaa
 
nakukana wapi ww hufahamiani na member yoyote humu, na kuna sehemu unaandika kiume kabisa kwanini tusiwe na mashaka? hapo naona avatar nzuri, jina zuri navutiwa kuchat na ww kumbe dume, yafaa nini sasa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kama wapi nishaandika kiume we tembosa ,kwa hiyo nawe una mashaka njoo unikague
 
Awwwwww that's the spirit.
Naanzaje kukuliza sasa The bold wangu jamani?
Machozi yako kwangu yatakuwa ya furaha and not otherwise.

You know me honey,I love you and you know bout that.

Hakuna anayejua ni jinsi gani nakupenda zaidi yako wewe pekee,ndio maana pamoja na vitisho vyote unavyopewa bado umezidi kuniamini.

Sikupendi kuuthibitishia umma nakupenda, nakupenda sababu moyo wangu unaniambia nakupenda wewe pekee.
Nakupenda sababu unanipa sababu za kukupenda kila uchwao.
Nakupenda sababu sioni mwingine wa kumpenda zaidi yako.
You deserve my all [emoji8] [emoji8] [emoji8]

#TheBoldIsMine#

Daaaaaaaaaah!!!!
Mbona mazari kama haya mimi sijawahi kuyapata jamani?
 
Back
Top Bottom