kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,499
Heheh!, kanichekesha. Na kakupatia haswa. [emoji28] [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ka Monicer kapo vizuri itabidi nianze kukawindaNamjua Monicer tu maana nishamuona na ni babe face wa hatariiii, kidogo tu nitangaze nia maana yupo single ila nikajikaza kwa sababu sipo single
Khaaaah!! Sio kwa majina hayo.Heheh!, kanichekesha. Na kakupatia haswa. [emoji28] [emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Thanks,
I LOVE YOU TOO atoto!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
I see!!
Vitoto vya mwendokasi.Wala usishangae sana, mimi ni kitoto bwana!
😀😀😀
Vitoto vya mwendokasi.
Malcom huyu Dada yako nihaaa, jamani wewe si dada yangu?
Malcom huyu Dada yako ni
mkwe wangu
Heri ya mwaka mpya..Vitoto vya mwendokasi.
Naomba umsamehe tuDaaah hongera sana mkuu,
Japo mama mkwe wako ananivunjia mimi heshima!
Naomba umsamehe tu
M-Pesa yake imevurugwa
na hizi sikukuu
Ndio mdogo wangu.haaa, jamani wewe si dada yangu?
Na kwako pia mkwe!Heri ya mwaka mpya..
MPESA yangu hadi nimesahau password jinsi ilivyovurugika.Naomba umsamehe tu
M-Pesa yake imevurugwa
na hizi sikukuu
I see,
Na kwa bahati mbaya sana,
Sisi watoto siyo mafundi wa M-Pesa,
Hapo nimekuelewa mkuu
MPESA yangu hadi nimesahau password jinsi ilivyovurugika.
Pesa kama hazisomi hata akili inavurugika.Anhaaa kwa hilo limekuvuraga na akili jamani,
Pole sana yatapita tu.
Pesa kama hazisomi hata akili inavurugika.