Wadada/Wanawake JF wapo!! Verification





mbona mm sioni kama kuna tatizo lolote ikiwa wanaotambilika kama wanawake ni feki au la maana sioni kama kuna namna yoyote mawazo na mchango wa mtu unakuwa bolded kwa jinsia yake.

Pia ikiwa kunawatu wanadhaniwa wako vile wakati wako vinginevyo si ndio kutimia kwa lengo la jamii forums la kuchangia bila kutambuliwa identity yako au ujitambulishe kwa hiari yako mwenyewe.

sioni kosa lolote kama mtu atajipambanua kuwa ni mwanamke wakati sio halafu akacheza nafasi ya mwanamke vile itakiwavyo. yaani namaanisha akitongozwa anakubali na kupiga vibuti, anahongwa na kuchuna kisawasawa kwa wanaojilengesha, anawaandikia madume wenzake sms za mapenzi hadi wanapata tulizo la moyo wakijua ni ke kweli kumbe dume mwenzao.


kwa hiyo achaneni na maneno ....weken Muziki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…