Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,461
- 35,218
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja niwataje ninaofahamiana nao humu[emoji3] [emoji3] [emoji3] hapana kaka sikutaka tu kuitumia
1....
2....
3....
Baadae nitamalizia wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja niwataje ninaofahamiana nao humu[emoji3] [emoji3] [emoji3] hapana kaka sikutaka tu kuitumia
Hivi uledi mpango ulishawahi kujaribu....?? Maana hata Mr Rocky unamuhusu Mshana Jr....Kaka una bahati wewe mpaka naona wivu....mimi kila nikipangana nao wanaingia mitini kasoro mmoja tuu hapo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi uledi mpango ulishawahi kujaribu....?? Maana hata Mr Rocky unamuhusu Mshana Jr....
Kaka! Mambo niaje?Hivi uledi mpango ulishawahi kujaribu....?? Maana hata Mr Rocky unamuhusu Mshana Jr....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio fan wala nini!![emoji3] [emoji3] watu na fani zao
Very well said[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio fan wala nini!!
Na ni vyema wadada wasipende kuonana na watu, wengine ni wabaya sana! Hawasiti kukuandika jinsi walivyokuona
Na kuponda kwingi.
Mimi kuna wadada nimekutana nao mara kadhaa bila hata wao wenyewe kujijua, wakati unakuta nawajua kabisa na ID zao, but i never write a shit on them...
I respect them...
Ndio heshima inayotakiwa.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio fan wala nini!!
Na ni vyema wadada wasipende kuonana na watu, wengine ni wabaya sana! Hawasiti kukuandika jinsi walivyokuona
Na kuponda kwingi.
Mimi kuna wadada nimekutana nao mara kadhaa bila hata wao wenyewe kujijua, wakati unakuta nawajua kabisa na ID zao, but i never write a shit on them...
I respect them...