kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
Wapi unakimbilia...?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi unakimbilia...?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Wapi unakimbilia...?
Nifah mbona hayupo? kutangazwa kote huko anadate na the bold lakini hamumtaji?
[emoji23] [emoji23] baada ya kufikiria sana ndo nikakumbuka kuwa wewe ni memba pekee wa kike Jf ambae tumekutana physically. Wengine wapo wengi tu nawajua kwa picha
Binamu heshima yako. Nimekumiss[emoji8]Ndio heshima inayotakiwa.....
Nimekumiss binamu mpenzi....! NitafuteBinamu heshima yako. Nimekumiss[emoji8]
Ntakutafuta binamu..soonNimekumiss binamu mpenzi....! Nitafute
We dina umeatajwa na thread zako za kike na kiumeWatajee sasa
Tatizo siyo wewe, pengine ID yako ya kiumeMimi najifahamu mwenyewe ni mwanamke na baadhi ya memba wananifahamu. Kama kuna mtu anakomaa kusema mimi ni mwanaume hilo ni tatizo lake binafsi na hiyo haitanifanya niwe vinginevyo
Kalumanzila acha uongo, nilikuja na kaniki yangu ukanikimbia.Kaka una bahati wewe mpaka naona wivu....mimi kila nikipangana nao wanaingia mitini kasoro mmoja tuu hapo
Sawa...Ntakutafuta binamu..soon
Sweetheart kama sikosei.Hiv tumboo ni nani kweliii kwa sasa nimemmiss halaf