Wadada watajuaje kama ulipanda ndege

Wadada watajuaje kama ulipanda ndege

Hahahaah hivyo vidude na boarding pass nabakigi navyo navikusanya kwenye droo.
 
2017 Sponsor kakutumia ticket ukaenda ukarudi.Umekaa miaka miwili unazunguka na hii tag tangu trip ile lakini huchani.Umepanda Saratoga kwenda Kigoma kwenu bado unayo hata maandishi yamefutika huchani.

Tag imeshika rangi nyekundu ya udongo na imefutika maandishi lakini huchani.

Huwa tunachana.Hehehe


View attachment 1235724
Labda kama unaishi sinza, Mbezi beach, Masaki huko kwa wasomi wanao jua ma-tag ya kimataifa,lkn Mbgala, sijui Kipawa,G/ Mboto, chanika hawakuelewi! watadhani ni karisiti tu ka Dukani kwa Muhindi k/koo. umesahau kuchana, hata wewe hujui pamoja na kupanda Bombadier
 
Back
Top Bottom