miss kitongoji
JF-Expert Member
- Feb 21, 2017
- 662
- 624
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha unaniua mbavu[emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi sijawah wapenda wapenda kwan huwa na ma bichwa makubwa mno hasa wakijiweka hiyo mi wigi kichwani... Yaan li bichwa linakuwa hilo kisa afanane na mzungu
Napenda Sana wanawake namna hiiUkute wigi limepigwa jasho la maana. Huwezi msogelea. Ila hii style ya wadada kunyoa inanikosha sanaView attachment 512175View attachment 512176View attachment 512177View attachment 512178View attachment 512179View attachment 512180
Wazungu nao wanavaaga mawigi... Wanaongeza nywele (extensions)
Ofcourse i love you the way you are mahondaw wangu...
Hahahahaaaaa toba ya rabi hivi mbona unakosoa uumbaji wa munguWadada wa aina hiyo wanakuwa na miguu miembamba kama miiba ya nungu nungu
Sawa reporterHahahahaaaaa toba ya rabi hivi mbona unakosoa uumbaji wa mungu
Siajabu nawewe una sampuli ya miguu hiyo hiyo sema ndio hivyo nyan haoni kundule
Namshukuru Mungu najikubali 100% naweza kwenda sehemu yyt na nywele 3 kichwani kujipodoa ndio,sijui kabisa
Asante Mungu wangu kwa kuniumba hivi nilivyo.
Clementine au tinaKuna Kitabu cha Things fall apart or song of Lawino mimekikumbuka
Kuna Dada alikuwa na Nywele Kipilipili lakin akiongea anaiga style ya Madada wa Kizungu ambao wakiongea hutikisa Kichwa Mara kwa mara kurekebisha Nywele zinazozonga usoni kwa wingi [emoji12][emoji12]
Kama hujaanza kuniambia mshambaHuyo wa twende kilioni, mabutu au tatu kichwa mimi ndio namtaka huyo.
Sijawahi kupenda hizi katani nyeusi kwa wadada.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]aje usiku umeme umekatika kavaa wigi na kucha ndefu,lazima ujichome visu ukijua jini kaingia😀😀😀
Ukiona Mtu anakufukuzia Pengine kapagawa na Tako au Lips au Mguu Wewe unadhani Hilo Fuko la kufunika Kichwa ndio linalokuuza!
Haiwezekani Nizuzuke kwa ajili ya Hiyo mifuko ya Kichwani ambayo kabla ya kuanza Heka heka lazima uivue ubaki na Kipilipili
Wadada wengi Tatizo lao hawajui their Key successful factor!
Siku ukikutana na mrembo na nywele tatu zmesukwa upande ndio mimi mkuu [emoji2]Picha Tafwadhwal nasi tushuhudie Rehma zake Rabbana