Wadada wembamba vitambi mnavitoa wapi?

Vipo mchanganyiko mblmbl kuna vya bia, michemsho, chips, mimba na vingine ni vya asili!!😄😄
Isitoshe watanganyika wengi hawana utamaduni wa mazoezi 😳

Heri kitambi kuliko vidonda vya tumbo
Vinakera bhana...halafu utakuta kavaa kigauni kipenseli katumbo kamechomoza kwa mbele🤦‍♀️
 
Picha tafadhali!
 
punguzeni chipsi mayai😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…