Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mikoani hawana vitambi😢?Serious ndyo 😊🤗
wenye matumbo flat mna ... huwa mna 🔥🔥🔥🔥🔥 alafu uwe black🌹🌹🌹🌹Habari za jioni wanajamvi
Niende kwenye mada moja kwa moja. Hivi wadada wenzangu hua mmnaajiskiaje 🤔🤔.
Yaani hakuna kitu kinakikera kama kumuona mdada mwembamba akiwa na kitambi, yani utakuta mdada ni mzuri mrembo safi ila akitembea katumbo kanatangulia mbele🤒🤒.. Hua najiuliza wanakulaga nini au ni uvivu tu hata wa kufanya mazoezi.
Asa sikia, kama ni mdada, mrembo mzuri halafu una kitambi, fanya mazoezi ya kupunguza tumbo hata mara moja kwa siku. Wengine mtasema hamna hela za kulipia Jim sawa naelewa, ila kuna Applications nyingi sana za mazoezi unaweza ukaingia playstore ukadownload ukaanza mazoezi yako mdogomdogo..
Na nyie wakaka muwashawishi wapenzi wenu wafanye mazoezi bhana.
Mimi nikionaga couple mkaka upo na mdada mwembamba ana kitambi sijui hua nawaonaje yani🧐
Nimemaliza....
utakua wa duara, shauri yako🤣Juzi uliniambia inatengeneza shape🚮
Hahaha sina mkuu😂😂...wamepita kama wawili watatu hapa nilipo nimewaona halafu wananata balaa,, ndomana nimeandika uzi
Ngoja nikaoge nijiangalie🤗😂utakua wa duara, shauri yako🤣
Yeah ni kweli....yani hatakama una kashape ka uchokozi nguo yoyote inakaa🤗🤗wenye matumbo flat mna ... huwa mna 🔥🔥🔥🔥🔥 alafu uwe black🌹🌹🌹🌹View attachment 2721750
That'S it My loveNazo zinaongeza kitambi kumbe😃😃😃🤔
dah, unene ni tatizo la taifa... angalia watu wote wenye umri wa 40+ wengi wana vitambi fulaniMimi nakula chips almost three or four days per week lakini sina...ni wavivu tu kufanya mazoezi 😅
Ukute mshangazi mnene mrefu tumbo Lina cluster tatu 😁😁😁linakua kama coded..... object oriented programmingdah, unene ni tatizo la taifa... angalia watu wote wenye umri wa 40+ wengi wana vitambi fulani
Bia za bure Flying Fish wanasema ni tamu Ina sukari, siku hizi wanagonga mpaka K Vant kwanin asiote kitambihalafu una kitambi,
🤗🤗🤗 leo jioni twende wapiYeah ni kweli....yani hatakama una kashape ka uchokozi nguo yoyote inakaa🤗🤗