Wadada wembamba vitambi mnavitoa wapi?

Nilikuwa nje ya mada

Nilitaka kusema sikumbuki kama nilishawahi kuona uzi wako
Mie habari ya vitambi kwa wadada sina uzoefu nayo 😅
sema tokea 2016 ulikuwa pisi fulani hivi ambayo imejijengea hazi humu ndani.
ikafikia hatuta nikaanza kukufatilia Ili nikutongoze nipate kukuona unafananaje

ulikuwa mpole sana ikapilekea Mimi kusubiria komenti zako kwahamu kwenye jukwaa lako pendwa la mmu wakati ule.vidume tumekufatilia sana tuwekaribu newewe tutupie nyavu.

ila nashangaa Sasa hivi umechachuka sana umekuwa mswahili sio wakishua tena.maringo yamekuisha kwanini mrembo?

wee ulikuwa ni id yakike inayo sadikika inamilikiwa namrembo matata sana namba moja hapa jf.Joana.

Joana jina lakirembo sana.
Sasa hivi mbona umechuja sana?au ushazalishwa?aimin ushakuwa singo mamá?
 


Hazi 🚮
Hadhi ✅

Ukipata muda uje na ID yako ya 2016,sio hii ya 2023 ili twende vizuri
 
Picha iko wapi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…