Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asubuhi chipsi, mchana chipsi, jioni chipsi🤣Wengi ni utapiamlo
big butt ndio dili sioLeejay49 karibu chips, unenepe flat tummy sio deal
Wameshiba hela em acha dada wawatuWengi ni utapiamlo
Bigbutty hawana flat tummy, nasemea hawa wenye za asilibig butt ndio dili sio
Kumbe, ila flat tummy la kazi gani?. Naina wenye flat tummy wengi njaa kali and most wana ulcersSikuhizi kujifungua kwa kisu imekua mtindo pendwa ila ndio chanzo cha vitambi mdebwedo japo ukizingatia tumbo huisha ila wengi wao waliofanyiwa upasuaji ili wapate mtoto wanakua na nyama za tumbo zilizolegea mpka wazibane. Madai yao wanakuambia mashine ibaki kama ilivyokua wakati mzigo unavutika na kurudi kulingana na hali ya mwili
Nilishasahau ka kuna mazoezi but nitarudi soonchips nakula sana kipenzi 😋😋😋...mazoezi tu yani🤗🤗
Nakuona unavyojifariji 😀 😀, acheni kula utumbo wa kukuWameshiba hela em acha dada wawatu
Flat tummy njaa tupu
Tunaweza kukurudisha miaka nyuma hata miaka 100 iliyopita, vipi uko tayari? 😀asubuhi chipsi, mchana chipsi, jioni chipsi🤣
babu natamani ningezaliwa 1940s kama wewe, hawa mabinti wa 2000s sio poa
Tusichoshane tafadhaliNakuona unavyojifariji 😀 😀, acheni kula utumbo wa kuku
Kubadili ni gharama; sio kwamba wanapenda kuwa hivyo.Basi wabadili vyakula
Kwahyo mkuu unashauri watu waviachie vitambi. Ila kuna pisi zinavitambi ila vimewakaa njema sana alafu akipigilia na jeance juu t-shirt na unyama kama jordani chini alooo unahisi umekutana na .5 flani hivi wa mchongoKumbe, ila flat tummy la kazi gani?. Naina wenye flat tummy wengi njaa kali and most wana ulcers
Usiwe unakula ugali mwingi usikuTusichoshane tafadhali
Nitaanza.mazoez ,nmekua mvivu