mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Kuzibua mtaro yataka kujitoa ufahamu aiseeeee daah!Mtu anajisahaulisha anjifanya kama hajui tofauti vile!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzibua mtaro yataka kujitoa ufahamu aiseeeee daah!Mtu anajisahaulisha anjifanya kama hajui tofauti vile!
Duuh! Hatari
Watu wamedata mbaya aseeeeDuuh! Hatari
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] jamaa kauliza swali la kichokoziHahaaa. Lol
Duuh. [emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️
Umeonaeee. Halafu mwisho wa siku anakuja kulaumu.Mtu anajisahaulisha anjifanya kama hajui tofauti vile!
Umeonaeee. Yaani hawaoni shida kufunguka hadharani.Watu wamedata mbaya aseeee
Umeonaeee. Yaani la kichokozi hasa best.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] jamaa kauliza swali la kichokozi
Kama hadithi ya yule aliekua anasubiria apate ushahidi pamoja na kufanyiwa mambo kibao ya kutia shaka, si wamjua eeh Hajar?Umeonaeee. Halafu mwisho wa siku anakuja kulaumu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ww umeyajuaje maumivu ya siku ya kwnz?!
Ndio. Namjua enheee.Kama hadithi ya yule aliekua anasubiria apate ushahidi pamoja na kufanyiwa mambo kibao ya kutia shaka, si wamjua eeh Hajar?
Halafu wewee, pressure watu zikiwapanda sijui utawapeleka hospitali au utawapa tu dawa we mwenyewe? Shauri zakoNdio. Namjua enheee.
Wacha ziwapande tu sababu nimeshajihakikishia sina umuhimu kwao.Halafu wewee, pressure watu zikiwapanda sijui utawapeleka hospitali au utawapa tu dawa we mwenyewe? Shauri zako
Ni wapuuziUmeonaeee. Yaani hawaoni shida kufunguka hadharani.
Nilitega macho kusubiri unamjibuje[emoji3] [emoji3]Umeonaeee. Yaani la kichokozi hasa best.
Nakusabahi fundi mkuu
Thamani yako kwao wala haina mpinzani, huwa wanakunasihi siku zote uulize na kujua kwanza yaliojiri ndio waeza kasirika au kufurahi. Uende ukawaulizeWacha ziwapande tu sababu nimeshajihakikishia sina umuhimu kwao.