Hawezi olewa ni sexless huyoWewe hujaolewa?
Yaani hapo umegonga penyewe!Mdada Una post picha kila weekend uko hotelin..
Picha uko mwenyewe aliekupeleka hotelin haionekani
Haijulikan ni mtu mmoja au kila weekend una
Sponsor mpya wa bata
Kila kinacho trend upo nacho..
iPhone mpya unazo huku unasema unatafuta kazi..
Sasa nani anataka hizo stress?
Umeandika kinyume na ule wimbo wa MANONGA YEMBE...Wdada waliojitunza na wenye kuishi kwa kufuata miiko na maadili hawaolewi. Kwasabb watu waovu ni wengi kuliko wema.
Dunia imejaa ubatili na hivyo wenye ubatili wametamalaki. Wakaka wengi wametawaliwa na tamaa za kishetani.
Akili zao ziko kwenye "kuonja", kuangalia makalio, shepu na rangi ya ngozi. Wanapuuza sifa za ndani ya mtu.
Hivyo kwa mdada mwenye maono, ndoto zake na mwenye kujitambua anaona bora atulizane tu. Acha micharuko iendelee kuolewa.
We braza..!!! Umeuwa..Mdada Una post picha kila weekend uko hotelin..
Picha uko mwenyewe aliekupeleka hotelin haionekani
Haijulikan ni mtu mmoja au kila weekend una
Sponsor mpya wa bata
Kila kinacho trend upo nacho..
iPhone mpya unazo huku unasema unatafuta kazi..
Sasa nani anataka hizo stress?
Tatizo ni kuwa too much selective. Zamani haikuwa kawaida binti kukosa mume. Siku hizi binti wengi wakiaona wamesoma kidogo wanajali material things na wanapokuja kugundua kuwa peke yake haziwezi leta furaha ndo wanaanza kuzitafuta ndoa. BahatiWdada waliojitunza na wenye kuishi kwa kufuata miiko na maadili hawaolewi. Kwasabb watu waovu ni wengi kuliko wema.
Dunia imejaa ubatili na hivyo wenye ubatili wametamalaki. Wakaka wengi wametawaliwa na tamaa za kishetani.
Akili zao ziko kwenye "kuonja", kuangalia makalio, shepu na rangi ya ngozi. Wanapuuza sifa za ndani ya mtu.
Hivyo kwa mdada mwenye maono, ndoto zake na mwenye kujitambua anaona bora atulizane tu. Acha micharuko iendelee kuolewa.
Nimecheka sana..eti wakuja kutalii[emoji3][emoji3]Sio lazima wote muolewe wengine dunian mmekuja kutalii Alafu hao waliotulia wengi wao used hmna bikra sema wamegundua kumekucha wanaficha makucha
nimecheka sana..eti wakuja kutalii[emoji3][emoji3]
Tatizo lao wanabana Sana
Sasa utamuoaje mtu asiyekuonjesha hata mara moja kwa mwezi?
Wengine wanaamua kutulia baada ya kuchimbwa vya kutosha Sasa anaogopa kukupa anajua ataumbuka
Mkuu unaandikaga a lot of sense yani, hizi tabia hakuna kidume anaziweza...Mdada Una post picha kila weekend uko hotelin..
Picha uko mwenyewe aliekupeleka hotelin haionekani
Haijulikan ni mtu mmoja au kila weekend una
Sponsor mpya wa bata
Kila kinacho trend upo nacho..
iPhone mpya unazo huku unasema unatafuta kazi..
Sasa nani anataka hizo stress?
Wema ana vision na akili kubwa. Hajampata wa kuendana nayeMlimbwede Wema Izaki Sepetu yupo kundi gani, maana hata mimba tu hajadungwa kulikoni?