Wadada wenye akili, heshima na adabu ni ngumu sana kuolewa dunia ya leo. Ndoa zimebakia kwa micharuko tu

Halafu wengi wa hao wanatafuta ajira ya ndoa na sio ndoa.
 
Wema ana vision na akili kubwa. Hajampata wa kuendana naye
Ilikuwa kidoooogo tu nikupe LIKE lkn kwa kusema Wema akili kubwa, basi.
Huyo hamfikii Umber hata , ni sawa kushindanisha BMW na Vitz.
 
yaaani awe na magari sijui elimu ndo ke nipeleke kikwapa pale mwee!!...
Mwenye bahati ni yuleee aliye pata nae hivyo vitu.....
Sawa umepeleka kikwapa labda apate zaidi...akifilisika hee!! Utajiona una mikosi.
 
Kwa mtu kamili kuchagua lazima. Hata Mungu ana chagua wa kumbariki siyo hovyo hovyo tu!!

Watu tumeumbwa kwa mfano wake. Km huchagui wa kuolewa nae wewe si kiumbe wa Mungu nae mjua.
 
Halafu wengi wa hao wanatafuta ajira ya ndoa na sio ndoa.
wengine wana haja ya harusi na siyo ndoa. Wengi wao hufukiria ndoa ili kuwakoga wenzao na hawako tayari kwa majukumu ya ndoa.
 
Reactions: RMC
Si kweli. Wanaume wengi wameoa wanawake ambao siyo machguo yao. Wengi wlitaka kupita kuonja lkn inatokea demu ana nasa mimba. Maisha ya ndoa yamaanzia hapo.

Nasema wengi, siyo wote.

Mm Sexless ni kungwi la kitaa. Nishaona na kusikia mengi.

Mkuu ukipata Nusu ujue umekosa Nusu - by Mwana FA

Kila jambo lazima linapande mbili, ila niamini mimi hao unaoona wamenasa mimba hawaolewi bahati mbaya,, Mwanaume anakuwa amepiga hesabu kati ya huyo aliyempa mimba na mademu wake wengine na hatimae huyo anaibuka kidedea.. Wangapi wanazalisha na wanakataa watoto au hawaoi kabisa..

Demu anayetangazwa kanisani au Msikitini ndio huwa mshindi na huwa hapatikani bahati mbaya..
 
Hahahahahahha unajitafta mabalaa kuoa mke kama huyo😅
 
Si kweli. Wanaume wengi wameoa wanawake ambao siyo machguo yao. Wengi wlitaka kupita kuonja lkn inatokea demu ana nasa mimba. Maisha ya ndoa yamaanzia hapo.

Nasema wengi, siyo wote.

Mm Sexless ni kungwi la kitaa. Nishaona na kusikia mengi.
Sidhani kama mimba tu inatosha kumbana mwanaume akuoe. Kama amaekubali kukuoa baada ya wewe kupata mimba ujue anakupenda pia. Wangapi wamezalisha halafu wanasema watalea mtoto?
 
Shida ipo kwa wadada wenye maadili. Wa kufanana nao hawapo. Wanaume walio wengi ni uso mkavu, kiatu kichafu kichwani hamna kitu
Tatizo kubwa ni kwa wanawake. Wanawake wengi wanapenda waume ambao kimuonekano na swaga zake itakuwa rahisi kumtambulisha kwa rafiki zake. Unaweza kuta mwanaume anafaa kabisa lakini bado binti anatafuta yule wa kuringishia kwa rafiki zake kama vile anaolewa kwa ajili yao.
 

Mkuu, umeona mbali sana. Na hii unaikuta bongo tu 🤣 maana wanaume wa bongo asilimia kubwa hawajatulia mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…