Wadada wenye makalio makubwa tumegundua ukweli

Wadada wenye makalio makubwa tumegundua ukweli

thomas_360

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
1,458
Reaction score
1,432
Daaah!! Wadada mnakwama wapi lakini?? Hivi huwa mnatafuta nn? Kwann tunaenda kinyume na uumbaji wa mwenyezi Mungu?? Wadada wenye hii tabia au ambao wanafikiria kufanya vitu kama hivi, hebu achaneni jamani!!

Point kubwa ni kuwa tujaribu kubaki katika hali ambayo tumezaliwa nayo, mengine tunajitafutia maradhi tu na laana kutoka kwa mwenyez Mungu!!

 
Pale dar maeneo ya mbezi mwisho kuna kizahanati cha wachina wapo vzr ukifika hapo ndani ya wiki watu wakikuona hawaamini huo mkia na bei za ni nafuu sana wadada wa mjini wengi wanapita kuelekea hapo.
 
Hatari sana...

Ghafla tako limeumuka... hii yote ni kutuvutia sisi wanaume...

Bora huyo, kuliko wale wa plastic sugery, wanachinjwa na kuingiziwa mifuko ya maji... mfano wa boobs implant...



Cc: mahondaw
 
Mnatabika sana kwa ajili yetu mara english figure,mara wowowo mpododo tukunyema maboobs manyonyo mara wanaume tunachange tunawataka chuchu saa sita mara tumegaili sasa hivi wanawake wafupi zamu yenu inakuja...
 
mbona anatako laini,anahangaika nini sijui,kwa jinsi tako lilivo soft hapa dudu limeshiba
 
Halafu wengine sie hatupendi wanawake wenye matako mikubwa maana
Mnatabika sana kwa ajili yetu mara english figure,mara wowowo mpododo tukunyema maboobs manyonyo mara wanaume tunachange tunawataka chuchu saa sita mara tumegaili sasa hivi wanawake wafupi zamu yenu inakuja...
 
Hatari sana...

Ghafla tako limeumuka... hii yote ni kutuvutia sisi wanaume...

Bora huyo, kuliko wale wa plastic sugery, wanachinjwa na kuingiziwa mifuko ya maji... mfano wa boobs implant...



Cc: mahondaw
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom