Wadada wenye makalio makubwa tumegundua ukweli

Wadada wenye makalio makubwa tumegundua ukweli

Daaah!! Wadada mnakwama wapi lakini?? Hivi huwa mnatafuta nn? Kwann tunaenda kinyume na uumbaji wa mwenyezi Mungu?? Wadada wenye hii tabia au ambao wanafikiria kufanya vitu kama hivi, hebu achaneni jamani!!

Point kubwa ni kuwa tujaribu kubaki katika hali ambayo tumezaliwa nayo, mengine tunajitafutia maradhi tu na laana kutoka kwa mwenyez Mungu!!

View attachment 1178384
wewe unamakalio makubwa?
 
kama ni kwel as if you dont know
Pale dar maeneo ya mbezi mwisho kuna kizahanati cha wachina wapo vzr ukifika hapo ndani ya wiki watu wakikuona hawaamini huo mkia na bei za ni nafuu sana wadada wa mjini wengi wanapita kuelekea hapo.
 
Wangejiuliza Mbona wenyewe hawatumii?
Pale dar maeneo ya mbezi mwisho kuna kizahanati cha wachina wapo vzr ukifika hapo ndani ya wiki watu wakikuona hawaamini huo mkia na bei za ni nafuu sana wadada wa mjini wengi wanapita kuelekea hapo.
 
Mwanamke anapoongezeka makalio akili inapungua.
Indirect proportional
 
Mnatabika sana kwa ajili yetu mara english figure,mara wowowo mpododo tukunyema maboobs manyonyo mara wanaume tunachange tunawataka chuchu saa sita mara tumegaili sasa hivi wanawake wafupi zamu yenu inakuja...
daaaah sijui watajikata miguu ? wanawake hawashindwi
 
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] acha nibaki tu na flatscreen yangu
Kwa kweli acha nibaki na flat screen yangu ya kichaga...kwanza flatscreen ni nzuri full HD.
 
Kweli kabisa kwanza mm sipendi wadada wenye mikalio mikubwa ni stress tupu
Kwa kweli acha nibaki na flat screen yangu ya kichaga...kwanza flatscreen ni nzuri full HD.
 
Kwa kweli acha nibaki na flat screen yangu ya kichaga...kwanza flatscreen ni nzuri full HD.
Aha hahaha...kweli papuchi na ndumku zinakuwa zinaonekana clear pale doggie inapokuwa in use
 
Back
Top Bottom