Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kazi kweli kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unamakalio makubwa?Daaah!! Wadada mnakwama wapi lakini?? Hivi huwa mnatafuta nn? Kwann tunaenda kinyume na uumbaji wa mwenyezi Mungu?? Wadada wenye hii tabia au ambao wanafikiria kufanya vitu kama hivi, hebu achaneni jamani!!
Point kubwa ni kuwa tujaribu kubaki katika hali ambayo tumezaliwa nayo, mengine tunajitafutia maradhi tu na laana kutoka kwa mwenyez Mungu!!
View attachment 1178384
wow great[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] acha nibaki tu na flatscreen yangu
Pale dar maeneo ya mbezi mwisho kuna kizahanati cha wachina wapo vzr ukifika hapo ndani ya wiki watu wakikuona hawaamini huo mkia na bei za ni nafuu sana wadada wa mjini wengi wanapita kuelekea hapo.
jaman sasa linakaaaje kwa mfanoHatari sana...
Ghafla tako limeumuka... hii yote ni kutuvutia sisi wanaume...
Bora huyo, kuliko wale wa plastic sugery, wanachinjwa na kuingiziwa mifuko ya maji... mfano wa boobs implant...
Cc: mahondaw
Unamjua zaidi ya anavyojijua yeye..Hmmm.!Sio kweli Shunie me nakujua sana,,Flat iyo vipi labda ya Ukutani!
Pale dar maeneo ya mbezi mwisho kuna kizahanati cha wachina wapo vzr ukifika hapo ndani ya wiki watu wakikuona hawaamini huo mkia na bei za ni nafuu sana wadada wa mjini wengi wanapita kuelekea hapo.
Wachina wao miili midogo ndo kua mzuri..sio hizi big features zinazosakwa na wabongo.Wangejiuliza Mbona wenyewe hawatumii?
kaa kwanza usije vunjika, alafu subiri zamu yenu mwiiishoooniiNa mimi mwenye kikalio ninacomment wapi sasa?
Kumbe wewe ni ndizi mshale[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] acha nibaki tu na flatscreen yangu
daaaah sijui watajikata miguu ? wanawake hawashindwiMnatabika sana kwa ajili yetu mara english figure,mara wowowo mpododo tukunyema maboobs manyonyo mara wanaume tunachange tunawataka chuchu saa sita mara tumegaili sasa hivi wanawake wafupi zamu yenu inakuja...
haswaaaaaa usije vunja hizo njitiKuna ya kuongeza miguu kwa sisi akina kyekue? [emoji22][emoji22][emoji22][emoji23]
[emoji3] cha size ya katiNa mimi mwenye kikalio ninacomment wapi sasa?
eti akili atatumia ya baharia alooo hadi raahaa kusikiaMwanamke anapoongezeka makalio akili inapungua.
Indirect proportional
Kwa kweli acha nibaki na flat screen yangu ya kichaga...kwanza flatscreen ni nzuri full HD.[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] acha nibaki tu na flatscreen yangu
wewe unamakalio makubwa?
Kwa kweli acha nibaki na flat screen yangu ya kichaga...kwanza flatscreen ni nzuri full HD.
Aha hahaha...kweli papuchi na ndumku zinakuwa zinaonekana clear pale doggie inapokuwa in useKwa kweli acha nibaki na flat screen yangu ya kichaga...kwanza flatscreen ni nzuri full HD.
Hapahapa unaambatanisha na picha ya kikalio tu!!Na mimi mwenye kikalio ninacomment wapi sasa?