Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Humu wadada wengi Wana avatar mia Moja za kiume na zakike nimetafakari sana nanimeona kuwa huu sio ustaarabu umchafua mwanamke mwenzako Kisa mwanaume ambaye ni mume wa mtu ambaye ni amepiga umri wa kutosha .

Kala chumvi nyingi sana na bado anafamilia inamsumbua because yupo kwenye kitengo kizuri basi unamganda anamke huyoo.

Ndio chanzo chakutukanwa mie wewe kinyago nakujua na nimegundua Kuna vinyago humu vinawashwa na Mimi.

Huyo aliyenitukana ni mwanamke ambaye anadhani nipo na jamaa zake sijajua humu watu wanalipiwagwa Kodi,shopping na wanatafutiwa michongo yakazi humu watu wamezaa na michepuko Yao .

Sasa mtu akiona ninavyochart naye anajua huyu jamaa anaongeza kitu Kwa taarifa yenu msinizoeee kabisa.

Namjua mmoja na wawili Hawa ndumilakiwili wanaojidai kuandika andika positive comments unadhani ni wapendwa kumbe vigroup vinajazana ujinga eti mie na wachukulia vizee vyenu . Sina time navyoo mjue.

Na kama kuchoka na mambo yake kila mtu anachoka na mambo yake
 
Wewe unaeanzisha uzi ndio utaleta shida..kama wanakutukana piga kimya zidisha mapenzi Kwa huyo mume wenu acheni mambo ya kudhalilishana ndugu zangu.

Kama wewe sio mume wako,na anaekutukana sio mume wake..sasa ya nini kugombana wakati nyote nyie sio mwanaume wenu halali?

ichange karata yako vizuri.huku wakikutukana kule Kwa mume wenu unampa viuno vya kwenda..bj za maana kama kibogoyo.

Be smart
 
Wewe unaeanzisha uzi ndio utaleta shida..kama wanakutukana piga kimya zidisha mapenzi Kwa huyo mume wenu acheni mambo ya kudhalilishana ndugu zangu.

Kama wewe sio mume wako,na anaekutukana sio mume wake..sasa ya nini kugombana wakati nyote nyie sio mwanaume wenu halali?

ichange karata yako vizuri.huku wakikutukana kule Kwa mume wenu unampa viuno vya kwenda..bj za maana kama kibogoyo.

Be smart
Unique Flower fata huu ushauri shoga angu
 
Wewe unaeanzisha uzi ndio utaleta shida..kama wanakutukana piga kimya zidisha mapenzi Kwa huyo mume wenu acheni mambo ya kudhalilishana ndugu zangu.

Kama wewe sio mume wako,na anaekutukana sio mume wake..sasa ya nini kugombana wakati nyote nyie sio mwanaume wenu halali?

ichange karata yako vizuri.huku wakikutukana kule Kwa mume wenu unampa viuno vya kwenda..bj za maana kama kibogoyo.

Be smart
Sawa mie Sina mume , mchumba, Wala. Cha Nini mie nimeambiwa tu na mtu kuwa huyu ni mwanadada ambaye anahisi uko na jamaa za Hawa wanaume malegend walioanza hii jf Sasa ukiangalia mie hao wa nyuma sinaga mambo nao hawajawahi nifuata ila kaleta ujinga na kebei hadi kero.


Mie ni smart ila kaniboa bhana .

Ila nimekuelewa kitofauti nitajitahidi
 
Wewe unaeanzisha uzi ndio utaleta shida..kama wanakutukana piga kimya zidisha mapenzi Kwa huyo mume wenu acheni mambo ya kudhalilishana ndugu zangu.

Kama wewe sio mume wako,na anaekutukana sio mume wake..sasa ya nini kugombana wakati nyote nyie sio mwanaume wenu halali?

ichange karata yako vizuri.huku wakikutukana kule Kwa mume wenu unampa viuno vya kwenda..bj za maana kama kibogoyo.

Be smart
🪒
 
Sawa mie Sina mume , mchumba, Wala. Cha Nini mie nimeambiwa tu na mtu kuwa huyu ni mwanadada ambaye anahisi uko na jamaa za Hawa wanaume malegend walioanza hii jf Sasa ukiangalia mie hao wa nyuma sinaga mambo nao hawajawahi nifuata ila kaleta ujinga na kebei hadi kero.


Mie ni smart ila kaniboa bhana .

Ila nimekuelewa kitofauti nitajitahidi
Muhimu sana.

Vyovyote ilivyo mama kama Kwa huyo mwanaume wenu kuna kitu unapata…jitahidi sana kufunga mdomo..wanaume hawapendagi mwanamke asiyeweza kuitunza siri..

Si chagua mwenyewe kufanya mambo ya maana Kwa huyo mume wenu au kufanya mambo ya kifala.yote mawili ni machaguo lakini inategemea kama upstairs Uko vyema ama la..
Acha uphaller.

Hallelujah
 
Back
Top Bottom