Wadada wenzangu hii sio poa

Sante darlie Sisy 😂😂

Ila si nilipotea tu Xmas na Boxing day asubuhi na mchana. Jioni nikarudi hewani
Kitendo tu cha kukuwish Merry Xmas na ukachelewa kujibu kwangu kilikuja kwa mshtuko that's not you hata kidogo babes...!!
 
Jamii forum imeanza kuwa kama instagram
 
Basi kama ni hivyo, basi acha kuchat na waume zao mkuu; mume anauma....hata kama ni mzee. Achia waume za watu uishi kwa amani kiongozi wangu.
 
mwanamke una maneno wewe....anyways wacha nikacheki mama wa kambo anataka nituma nini jioni hii
jamani parapanda🎶🎶🎵…parapanda italia parapanda🎶🎶parapandaaaaa

Ninajibu kujifunza kuimba

Wewe mtoto wa kambo hufai
 
Glenn najua hatoruhusu nije, we fanya mpango unialike
 
Hivi leo mmeamua kufungua maboksi mengine ya zawadi jamani,.mbona kama boxing day[emoji1787]
 
i have already made peace with that. so hamna cha kunitisha. hakuna faida ya kufa huku viungo vyote vipo poa.
🤣🤣acha uphaller basi ndugu mtoto wa kambo upendezwae na papuchi ya mama wa kambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…