wala sio uswazi tu, hata wale waliostaarabika wana tabia hiyo.
Wala sio uswazi tu, hata wale waliostaarabika wana tabia hiyo.
SMART1,
Hivi kuna watu (mwanamume na mwanamke) wanaooana bila kutarajia kupata mtoto?
Sio tabia nzuri kwakweli na kuna baadhi ya wanaume nao huchangia katika hili. Yaani kutwa kucha wao ni kulalamika tu kusikokua na mwisho hadi anawapa kiburi hata hao ndugu zake!
Ni kweli kabisa wala sikubishii mkuu. Na itakuwa vizuri iwapo masuala yahusuyo kuzaa wangeachiwa wanandoa wenyewe na sio kupangiwa na watu wengine kama hao. Inauma sana kusimangwa na binadam wenzeko ilhali wote twategemea majaaliwa ya mwenyezi Mungu. Natamani wote wabadilike na kuweza kuifeel hiyo hali ya wanaosimangwa labda watakuwa na huruma.Unajua kulalama kwa wanaume kunaletwa na mama yake mzazi, dada zake na mashangazi zake.... so it begins from you women