Hivi kwa ninyi madada, mawifi, mama wakwe.....
Hivi ni kwanini mwanamke mwenzenu anapochelewa kupata mtoto akiwa ndani ya ndoa huwa mnapenda kuwasimanga. Mara mjaza choo, anakula vya mwanao/kaka ako bure.
Hamjui alie kuwa wewe ndio amemnyima yeye. Au bado anasubiri majira ya Bwana!
please muwaombee badala ya kuwadharau!!
Hivi ni kwanini mwanamke mwenzenu anapochelewa kupata mtoto akiwa ndani ya ndoa huwa mnapenda kuwasimanga. Mara mjaza choo, anakula vya mwanao/kaka ako bure.
Hamjui alie kuwa wewe ndio amemnyima yeye. Au bado anasubiri majira ya Bwana!
please muwaombee badala ya kuwadharau!!