Wadada wote mnaosumbuliwa na sisi "me" njooni huku niwaambie kitu

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,699
Reaction score
4,117
HAYA HAPA NI MAJIBU YA KUWAJIBU WANAUME WANAOKUSUMBUA INBOX

SWALI: mrembo unafanya nini??
JIBU: natafuta pete yangu ya ndoa sijui nimeipotezea wapi...

SWALI: tunaweza kuonana??
JIBU: nina mimba ya miezi 8 siwezi kuonana kwa hii hali

SWALI: naweza kujua zaidi kuhusu wewe??
JIBU: of course napenda hela nitumie laki 5 basi then nitakurudishia after two weeks

SWALI: una boyfriend??
JIBU: ninaye na nina watoto wawili halafu mume wangu mwanajeshi

....,..,..,,.,.,..,.,.''\\\\\\'''''''\\\''''''\''\\................,,,...,.,,,.,..,.,,,..................
 
bampami utakuwa bwabwa wewe si bure,mwanaume kucheza na watoto wakike ni tabia za kichoko
 
Daah kama hujui sasa wengine tukiona sehemu easy ndo tunakata tamaa sehemu ngumu kama izo ndo tunapenda..mimba ya miezi [emoji39] [emoji39] demu wa mwanajeshi hajazoewa kupetiwa petiwa[emoji39] [emoji39]
 
Hao ni wazur "moyo mashine" ben pol amesema wamekosa majibu ya upendo ,yuko wap kwanza nitupe ndoano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…