bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,117
HAYA HAPA NI MAJIBU YA KUWAJIBU WANAUME WANAOKUSUMBUA INBOX
SWALI: mrembo unafanya nini??
JIBU: natafuta pete yangu ya ndoa sijui nimeipotezea wapi...
SWALI: tunaweza kuonana??
JIBU: nina mimba ya miezi 8 siwezi kuonana kwa hii hali
SWALI: naweza kujua zaidi kuhusu wewe??
JIBU: of course napenda hela nitumie laki 5 basi then nitakurudishia after two weeks
SWALI: una boyfriend??
JIBU: ninaye na nina watoto wawili halafu mume wangu mwanajeshi
....,..,..,,.,.,..,.,.''\\\\\\'''''''\\\''''''\''\\................,,,...,.,,,.,..,.,,,..................
SWALI: mrembo unafanya nini??
JIBU: natafuta pete yangu ya ndoa sijui nimeipotezea wapi...
SWALI: tunaweza kuonana??
JIBU: nina mimba ya miezi 8 siwezi kuonana kwa hii hali
SWALI: naweza kujua zaidi kuhusu wewe??
JIBU: of course napenda hela nitumie laki 5 basi then nitakurudishia after two weeks
SWALI: una boyfriend??
JIBU: ninaye na nina watoto wawili halafu mume wangu mwanajeshi
....,..,..,,.,.,..,.,.''\\\\\\'''''''\\\''''''\''\\................,,,...,.,,,.,..,.,,,..................