Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 319
- Thread starter
- #41
duh yani leo nakupendaje leo jamani mwaaaaaaaaaa:hug::hug::hug: yani minjicho yangu ilijaa tongotongo khaaaaaa,unajua si wengine tuko kiujasiliamali zaidi au tufungue kajimradi ketu ka kufunda watu ah ah ah
hahahahaaaaaaaaaaaaaa Pearl ni bora ukajibebea zile ambazo wawezasimamia utumikaji wake......care mydia....hayo mengine akikugomea utatumia nguvu??