Wadada!

duh yani leo nakupendaje leo jamani mwaaaaaaaaaa:hug::hug::hug: yani minjicho yangu ilijaa tongotongo khaaaaaa,unajua si wengine tuko kiujasiliamali zaidi au tufungue kajimradi ketu ka kufunda watu ah ah ah
hahahahaaaaaaaaaaaaaa Pearl ni bora ukajibebea zile ambazo wawezasimamia utumikaji wake......care mydia....hayo mengine akikugomea utatumia nguvu??
 
ah ah ah sema tu mamy kambi popote ukimaliza job fasta unaweza kuchukua bajaji frm moro to dar wknd au sio?ah ah ah eti sauti ya kuvutia lol
 
LOL...sio vituko AD, imagine mi nilikua na nung'unika but ujumbe sikufikisha ningejua kumbe ningeku PM lakini hamna kilicho haribika.. sasa am happy..
My dear as long ur happy
I'm happy too...
 
Rafiki yangu hakosi kioo, vya kupaka midomo, kitambaa, ilasijawahi chunguza full mkoba wake

Usije ukajaribu kuchunguza hata siku moja utaona yasokuhusu humo kuna mengi sana ha ha ha ha
 
ah ah ah sema tu mamy kambi popote ukimaliza job fasta unaweza kuchukua bajaji frm moro to dar wknd au sio?ah ah ah eti sauti ya kuvutia lol
My dear bajaji inauwa watu hovyo
mmmhh mie ntakuja na mkokoteni
nikivaa zile stilo nyekundu nakumpa yule
kaka story mmmhhh atanifikisha kwako mwaya.. anda kile kile kitanda cha siku ile hahahah lol
 
Uwekee key holder ........ni muhimu sana aisee

Hahahshhah lol
huwa naweka ndani ya soksi halafu ndo naweka kwenye bagi hahahah lol
Muda ukitimia natafuta hiyo soksi nilipata safi nikikosa nalalanjaa hahahshhah lol
maana hili begi kuna mtu aliniuliza kama na bebeaga maiti ni kubwa hukosi kitu humo ndani lol
 
ah ah ah haya bana mi ntaweka kile kile kidanda kiliacho kuchi kuchi kuchi chenye spring ili niwaskie vizuri ah ah ah
My dear bajaji inauwa watu hovyo
mmmhh mie ntakuja na mkokoteni
nikivaa zile stilo nyekundu nakumpa yule
kaka story mmmhhh atanifikisha kwako mwaya.. anda kile kile kitanda cha siku ile hahahah lol
 
ah ah ah mi sijambo kabisa love duh begi?yani kambi popote?ah ah ah uko juu ma,miss ur sauti tena

πŸ˜›hone:πŸ˜›hone:
 
owkey am keeping it down low shhhhhhhhhhhhhhhhhhh

Hahahah nimesha mwona hapo chini
nawe nayo hujui kabisa lining'oneza hahahahahahahah lol .. kitu ambacho hakitaa kaa kisaulike kwenye begi langu ni hand crime
Lip bum taulo na soksi hahahah lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…