Stan Pearson
Senior Member
- Dec 9, 2019
- 154
- 295
Nimezikwa kama 3M. Watu unawapa flexibility ya kukulipa wawezavyo, na ndio hapo wanachukulia advantage.
Sasa hivi kama ntakopesha ( sina mpango huo), itabidi irudi kama tulivyokubaliana, sitajali kama mtu ana matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi kama ntakopesha ( sina mpango huo), itabidi irudi kama tulivyokubaliana, sitajali kama mtu ana matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app