Curious Naturally
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 528
- 523
Wadau, nimesikia kuwa wadaiwa sugu vyuo vikuu kutopewa hati za kusafiria nje ya nchi, kutoka "power breakfast" clouds fm, kwenye uchambuzi wa magazeti
Kiukweli binafsi nimeshtuka sana. Sidhani kama huu utakuwa ni uamuzi sahihi. Nchi hii ya ajabu kweli
Shiiiiiiidaaaaaaaaar
wazo langu kwa serikali wadaiwa wengi wapo kwenye halmashauri zetu,wafanye msako wa hawa wadaiwa huko watawapata wengi,wakisubiri wadaiwa waende wenyewe itakua historia kulipa,wawape jukumu hili wakurugenzi wote nchini kusubmit watumishi wote wanaodaiwa na bodi,wahusika chukueni hiyo mbinu,ikiwezekana hata wakuu wa shule waratibu elimu kata wakuu qa idara etc wahusishwe katika kutoa taarifa za hawa watu
Walimu ndo no1 maana ni wengi na 99% wanao mkopo