Wadaiwa sugu wa bodi ya mikopo elimu ya juu

Wadaiwa sugu wa bodi ya mikopo elimu ya juu

Wataishia kuwabana wale walioajiriwa kwenye taasisis za Serikali. Yule aliyejiajiri kule Manyovu wanampataje?
 
Ivi kwa nini kila kitu sisi tuko nyuma?
Labda we are good in doing sex!
As ukienda kwa ofisi yao pale its as if kila mtu mgeni ni full kuzungushwa.
Sasa unaandika kumdai mtu akikufuata umwambie unamdai kiasi gani kimyaaa.Nyambafu

Kwa wale ambao ni watumishi wa Umma walishapelekewa majina yao kuanzia mwaka 2007 na kukiri kuwa wameyapokea, kuchambua na kuelekeza Taasisi husika kuanza kukata kwenye mishahara yao na kuwatumia. Cha ajabu hawafuatilii makato hayo. Nadhani sio kazi ya mdaiwa kufanya kazi ya mdai, maana wanalipwa mshahara mzuri kwa kazi hiyo.
 
kiukweli mimi nina ushaidi wa baadhi ya taasisi za serikali ambazo ukata pesa kutoka kwenye mishahara ya watumishi wao,
kila mwezi, na baadhi ya Wakuu wa Taasisi hizo ni Board Members wa Executive Comittee ya Loan Board! kuonyesha ujinga wao hata hao waajiri wao wameorodheshwa kama hawajawai kulipa, na wala hawafahamiki walipo! very stupidy kwakweli! kibaya zaidi kuna wawakilishi wa Loan Board kila mwezi wanalipwa perdierms na allowances kwenda kukolekti malipo hayo, sijui hizo hela na majina ya walipaji zinaishia wapi?
 
eti nijipeleke mwenyewe waanze kunikata hela..who?me?zikafinance posho za nape,..wanitafute wenyewe..
 
Back
Top Bottom