Wadau baharia mimi nimepata janga ambalo halikuwahi kunipata kabla



Kuna mawili hapa.
!. Kuna uwezekano una dalili ya ugonjwa wa sukari na (2) Unaelekea kuwa shoga
 
We unapania sana unataka kukomoa halaf una mawazo ya kufeli.
Hujawah kumega madem wakali?
 
Hapa super sub watakua hawa wafuatao
1.Juisi ya tende
2.Habat Souda
3.Mzaituni
4.Supu ya Sangara
5.Mazoezi ya kukimbia (ili kufungua pumzi/turbo)
6.Maji lita 3 (kupoza injini)

Huyo Erecto asicheze kabisa, hapo Kwa kikosi hicho kocha haendi uwanjani anakunywa Kahawa akiwa kijiweni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…