Wadau baharia mimi nimepata janga ambalo halikuwahi kunipata kabla

Wadau baharia mimi nimepata janga ambalo halikuwahi kunipata kabla

Hapa super sub watakua hawa wafuatao
1.Juisi ya tende
2.Habat Souda
3.Mzaituni
4.Supu ya Sangara
5.Mazoezi ya kukimbia (ili kufungua pumzi/turbo)
6.Maji lita 3 (kupoza injini)

Huyo Erecto asicheze kabisa, hapo Kwa kikosi hicho kocha haendi uwanjani anakunywa Kahawa akiwa kijiweni.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ni kama Man U ya mzee Fergie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii picha yenye umeweka kwenye profile kama ndo wewe basi shetani uliye naye ana miguu milion mbili...mtu huyu hua yuko kwenye filamu za ngono bafetimbi,

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Hii picha yenye umeweka kwenye profile kama ndo wewe basi shetani uliye naye ana miguu milion mbili...mtu huyu hua yuko kwenye filamu za ngono

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Role model wangu huyo, yani mikato yake kama yangu tu
 
Kwanza uwe na muda usiwe na haraha, pili ukitinga wembley fanya mishe tofauti na dem kabla kuanza game. Halafu ukipiga bao moja omba BJ
Fafanua kidogo kwenye kufanya mishe tofauti na dem nikupate fresh kamanda
 
Kizazi cha msimu wa Corona!! yaliyotabiliriwa ndio haya. Watoto wetu wanawaza ngonooo tu! Eee Mola turehemu
Hawa nao watakua wazazi

Can you imagine wakiwa mababu tutakua na wajukuu wa Aina gani?

We are doomed
 
Kwa kifupi ukiingia usiwaze ku tomberr tu
Na inawezekana hii pia ilichangia maana niliconcetrate kiasi kwamba naingia ndani tu na manzi mashine iko hewani,
 
Hivi hizo erecto 50 ni sh ngapi?
buku hadi buku 2 ziko vizuri sana ila nunua kwenye phamacy kubwa kuna counterfeit version nyingi sana za hii dawa japo zote zinafanya kazi ila OG is much safer usinunue phamacy za vichochoroni kuna feki nyingi sana.
 
buku hadi buku 2 ziko vizuri sana ila nunua kwenye phamacy kubwa kuna counterfeit version nyingi sana za hii dawa japo zote zinafanya kazi ila OG is much safer usinunue phamacy za vichochoroni kuna feki nyingi sana.
Ahaa sawa sawa, kwahiyo nikiwaambia tu erecto 50 wanaelewa!! Sasa je hawataanza kuhitaji niwape uthibitisho wa daktari kuwa naruhusiwa kutumia hizo erecto!!
 
Next round unataka umvutie bangi eeh!!!?!
Jiangalie mkuu usike ukawa kama ye mwana aliekamia msosi wa sherehe akaenda dukan kuomba vidonge vya njaa anywe mida ya msosi.Mwisho wa siku muuza duka kampa vidonge vya usingizi..kija kushtuka watu wanaosha sahan shereh ishaisha.
 
Kwahiyo tulielewana vipi nkikugonga ulale huwezi simamisha nakuomba ulinde hayo marinda nayagharamia sana.
 
Back
Top Bottom