Wadau,hivi hii ni kweli kuhusu udom?

C ndo niny ambao mnasubir msomewe notice na wanaume wenzenu.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
HAHAHA Degree kama LAW, TELECOMUNICATION ENGINEERING,PSPA,SOCIOLOGY, yaani ni uozo mtupuu yaani mkuu wa department ni tutorial assistant hiki ni chuo cha kata jamani kasoro majengo tuu,
yani we ni muongo ulioshindikana eti mkuu wa department ni nani mmmh msiosoma udom mtazidi kuambiwa sana afu vitu uwe unathibitisha kabla ya kuropoka
 

fanya utafiti mpana zaidi,ikibidi fika adi udom
 
hata najua ni vita ya UDOM NA UDSM MZUMBE SUA NA------
 

Sio kwel yawezekana uyo bro wako ndo wale wanaoshinda. Block za madem kupiga story, tutorial walikuwepo mwaka 2007 ambao wengi wao walidhaminiwa na chuo hatimae wengine wamepata masters ana PHD hakuna mkuu wa department ambae ni tutorial. Nashauri vijana kama wasomi acheni umbea au wivu wa kike. Hakikisha unachokiongea unaushaidi nacho daima msomi hakurupuki kana -------- wa mtaani
 
yani we ni muongo ulioshindikana eti mkuu wa department ni nani mmmh msiosoma udom mtazidi kuambiwa sana afu vitu uwe unathibitisha kabla ya kuropoka

Mkuu wa department ya law.DKt chacha, PSPA ni profresa PETER kupoka. Sociology. Dkt ...........
 

wee mngese
 
inawezekana kweli kaka ake akikuwa ana shinda block 4 na 5 pia 7 na 9 na pia kwny party moja ya kumaliza chuo kuna mkaka alipewa zawadi ya kuhudhuria sana mablock ya girls inawezekana ni kaka ake mtoa mada
 

Mhhhhh
 
illogic.....non-sense....

jamani ,mimi naomba nipewe status ya school of nursing UDOM.maana nasikia hakuna waalimu ambao ni nursing specialists.eti kuna waalim kama 10,kati ya hao,walio manesi ni wawili tu (TAs),wengine wamesoma vitu vingine tu.na kuanzia dean na heads of departments sio manesi na hawafahamu nesi wa degree anatakiwa ku-cover kiasi gani,wakati shule hiyo inatoa hadi master ya nursing.kisha aliye na details za humanities atatuambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…