Wadau huu ni ugonjwa gani wa Kuku na unatibiwaje?

Wadau huu ni ugonjwa gani wa Kuku na unatibiwaje?

Yes moja tatu ndio jina la chanjo. Kuhusu hao wagonjwa uwezekano wa kufa ni mkubwa kuliko wa kupona ila jaribu kuchanganya punje za mahindi na mafuta ya kula kisha uwape, siwezi kukuhakikishia kuwa ni dawa ila unaweza kujaribu.
Mkuu hiyo tatu moja inauzwaje madukani?
 
Back
Top Bottom