xYz07 JF-Expert Member Joined Apr 13, 2015 Posts 4,077 Reaction score 5,910 Mar 7, 2022 #21 Coolant said: Yes moja tatu ndio jina la chanjo. Kuhusu hao wagonjwa uwezekano wa kufa ni mkubwa kuliko wa kupona ila jaribu kuchanganya punje za mahindi na mafuta ya kula kisha uwape, siwezi kukuhakikishia kuwa ni dawa ila unaweza kujaribu. Click to expand... Mkuu hiyo tatu moja inauzwaje madukani?
Coolant said: Yes moja tatu ndio jina la chanjo. Kuhusu hao wagonjwa uwezekano wa kufa ni mkubwa kuliko wa kupona ila jaribu kuchanganya punje za mahindi na mafuta ya kula kisha uwape, siwezi kukuhakikishia kuwa ni dawa ila unaweza kujaribu. Click to expand... Mkuu hiyo tatu moja inauzwaje madukani?
Grand Canyon JF-Expert Member Joined Jan 2, 2020 Posts 545 Reaction score 1,191 Mar 7, 2022 #22 5,000 Tsh (Mwanza)