Rainbow Mbezi njia ya Chini mkabala na OILCOM na GBP unapata kitimoto isiyo na mafuta safii. Hakika Wagalatia tunafaidiPoa Gaspar, vp kinondoni mbezi beach na mikochen?
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Kilo wanauza sh ngapi?Nenda La cassa,pale Tabata Magengeni.
Hii ndio bei ya wanainchi mkuu
Hakika.
Kitimoto kiliwe kwa siri Sana. Wenyewe hawapendiKazimoto Pork.., Tabata Segerea.
Kwa Kitine nyuma ya Bamaga
Maua bar, Mwenge karibia na Kanisa katoliki.