au KKKT usharika wa Temboni.KKKT MBEZI LUIS. TEREMKIA KIBANDA CHA MKAA.
THANK ME LATER
tang'ana tunasali pamoja tatizo wewe unashabikia CCMau KKKT usharika wa Temboni.
Siku hizi Mwamposa anadhara utafikiri anakula mavi. Kwenye ibada watu wanasubiri wee akija nusu saa nyingi keshachukua mpunga na kutokomea shetani anakokaaKawe Kwa Mwamposa
Huo muda wa kula bata mnautoa wapi? Nchi inapitia hali mbaya ya kiuchumi nyie mnawazawaza anasa tu. Kwanini huo muda wa anasa msiutumie vizuri kufanya kazi ili baadaye muenjoy matunda ya jasho lenu? Hivi nyie mkoje? Kama taifa tunaelekea wapi?Wadau wa kula bata kesho ni kiwanja gani kitanoga kwa kwenda kula bata?
Tukutane jumamosi japo Mlyuka hayupo.Lazima tukubali kutokubaliana kwenye baadhi ya mambo mkuu.
Ha ha ha..me bado kijana sana mkuuTukutane jumamosi japo Mlyuka hayupo.
Vipi utapenda nikupendekeze kwenye Baraza la wazee lijalo?