AhahahahaNifikiliavyo ni Kuwa na wenyewe ni waoga wa mabanzi so huwa wanaogopa mabanzi Sasa ili kutests kwanza Kama hapa mabanzi ni free au njemba imelala anakuja sikioni kukukera ukionyesha ishara upo active anatuliza mshono lkn akipiga kelele halafu bado upo cool hapo anajichagulia eneo la kukula kimasihara..
Kuna wale mbu wakorofi haswa ukiwa huna hela akikujua anaingia hadi sikioni anakupigia kelele wapuuzi sana wale..[emoji23]
Sikio ni moja kati ya milango mitano ya fahamu katika mwili wa binadamu.
Kazi yake ni kunasa mawimbi ya sauti.
Mbu akiwa mbali na sikio, mawimbi ya sauti yake hayawezi kulifikia sikio, na hivyo huwezi kusikia sauti yake ingawa sauti yake ingalipo. Akirukaruka eneo la miguuni, huwezi kusikia sauti yake ingawa anatoa. Lakini mbu huyohuyo akiruka karibu na sikio, utaisikia sauti yake.
Hivyo sio sahihi kwamba mbu anatafuta sikio tu, bali huzunguka mwili mzima na akifika sehemu ya sikio mawimbi ya sauti hunaswa na kusikika.
Hahahahaha, Hao watakuwa mbu wa awamu ya tano Hadi wanajua yupi mwenye pesa na yupi hana.Nifikiliavyo ni Kuwa na wenyewe ni waoga wa mabanzi so huwa wanaogopa mabanzi Sasa ili kutests kwanza Kama hapa mabanzi ni free au njemba imelala anakuja sikioni kukukera ukionyesha ishara upo active anatuliza mshono lkn akipiga kelele halafu bado upo cool hapo anajichagulia eneo la kukula kimasihara..
Kuna wale mbu wakorofi haswa ukiwa huna hela akikujua anaingia hadi sikioni anakupigia kelele wapuuzi sana wale..😂
Mkuu wanajua tuHahahahaha, Hao watakuwa mbu wa awamu ya tano Hadi wanajua yupi mwenye pesa na yupi hana.
Mkuu karibu tunywe juisi kola..Wee Jamaa heri ya mwaka mpya,umenifanya nicheke kwa sauti kubwa!!
Ndo anakupa taarifa ivo kua anataka kukung'ata ili usije laumu kua hukumsikia.Wadau aiseee ebu wataalam waelezee kidogo uhusiano uliopo kati ya mbu na sikio manake mbu anataka damu so inabidi akungate sasa hii kulia sikioni yaani anauzi atazunguka koote atarudi sikioni ziiiiiiiii na sikioni hakuna damu sijui anataka nini