Wadau kupinga Job Ndugai kuwa Mgeni Rasmi kwenye Tamasha la Simba Day ina maana gani?

Wadau kupinga Job Ndugai kuwa Mgeni Rasmi kwenye Tamasha la Simba Day ina maana gani?

View attachment 1944495

Job Ndugai ni Spika wa Bunge la Tanzania , huu ni wadhifa mkubwa mno, mtu mwenye cheo hiki anastahili kupendwa na kuheshimiwa na kila mtu katika nchi hii , Huyu ni kiongozi wa Mhimili muhimu mno wa Bunge.

Lakini cha kushangaza ni hiki , Baada ya uongozi wa Simba kumteua Ndugai kuwa Mgeni Rasmi kwenye Tamasha muhimu la Simba day watu wengi wameshang'aa na kupigwa butwaa , wengi wanapinga Ndugai kupewa heshima hiyo huku wakidai hastahili , si mwanamichezo na wala hana mvuto kwenye siasa za nchi hii , kimsingi kumteua huyu kuwa Mgeni rasmi kumeleta kama nuksi kwenye Tamasha hilo , Ni kama kuweka nazi kwenye supu .

Wako waliojiapiza kwamba Muda ambao Ndugai ataingia uwanjani wao watajiondokea zao , hata kama wamelipa pesa zao.

Kwa mnajua mambo ya namna hii, Jambo hili ni ishara ya kitu gani?
ebu tuwe serious na soka, achaneni na milembe milembe huyo
 
Hii ni MO day, na siyo Simba day,
Mwenye sherehe ndiyo amemualika mwana CCM mwenzake awe mgeni rasmi, so huwezi kumpangia,

Simba wakitaka mgeni wao awe nani waandae
Hii ni MO day, na siyo Simba day,
Mwenye sherehe ndiyo amemualika mwana CCM mwenzake awe mgeni rasmi, so huwezi kumpangia,

Simba wakitaka mgeni wao awe nani waandae sherehe yao.

sherehe yao.
Najua mashabiki maandazi watakuja kukupinga Ila huuu ndo ukkweli kabisa
 
View attachment 1944495

Job Ndugai ni Spika wa Bunge la Tanzania , huu ni wadhifa mkubwa mno, mtu mwenye cheo hiki anastahili kupendwa na kuheshimiwa na kila mtu katika nchi hii , Huyu ni kiongozi wa Mhimili muhimu mno wa Bunge.

Lakini cha kushangaza ni hiki , Baada ya uongozi wa Simba kumteua Ndugai kuwa Mgeni Rasmi kwenye Tamasha muhimu la Simba day watu wengi wameshang'aa na kupigwa butwaa , wengi wanapinga Ndugai kupewa heshima hiyo huku wakidai hastahili , si mwanamichezo na wala hana mvuto kwenye siasa za nchi hii , kimsingi kumteua huyu kuwa Mgeni rasmi kumeleta kama nuksi kwenye Tamasha hilo , Ni kama kuweka nazi kwenye supu .

Wako waliojiapiza kwamba Muda ambao Ndugai ataingia uwanjani wao watajiondokea zao , hata kama wamelipa pesa zao.

Kwa mnajua mambo ya namna hii, Jambo hili ni ishara ya kitu gani?

Anastahili kupendwa, na kuheshimiwa na kila mtu” Kwa sababu zipi?
 
View attachment 1944495

Job Ndugai ni Spika wa Bunge la Tanzania , huu ni wadhifa mkubwa mno, mtu mwenye cheo hiki anastahili kupendwa na kuheshimiwa na kila mtu katika nchi hii , Huyu ni kiongozi wa Mhimili muhimu mno wa Bunge.

Lakini cha kushangaza ni hiki , Baada ya uongozi wa Simba kumteua Ndugai kuwa Mgeni Rasmi kwenye Tamasha muhimu la Simba day watu wengi wameshang'aa na kupigwa butwaa , wengi wanapinga Ndugai kupewa heshima hiyo huku wakidai hastahili , si mwanamichezo na wala hana mvuto kwenye siasa za nchi hii , kimsingi kumteua huyu kuwa Mgeni rasmi kumeleta kama nuksi kwenye Tamasha hilo , Ni kama kuweka nazi kwenye supu .

Wako waliojiapiza kwamba Muda ambao Ndugai ataingia uwanjani wao watajiondokea zao , hata kama wamelipa pesa zao.

Kwa mnajua mambo ya namna hii, Jambo hili ni ishara ya kitu gani?
Hata kama ni kualika kiongozi kuwa mgeni rasmi basi angalau awe kiongozi mwenye maadili sio hawa wahuni
 
Yaani wewe kila kitu unakipeleka kisiasa siasa, yaani upuuzi upuuzi mwingi mpaka kwenye maswala ambayo sio ya kisiasa yaani UPUUZI.
Kwani kakuita kwenye comment yake au kiherehere chako tuu na kudandia mwendokasi kwa mbele??
 
Kwani kakuita kwenye comment yake au kiherehere chako tuu na kudandia mwendokasi kwa mbele??
Hamna mwenye comment yake, hii comment kaiandika humu jamii forum,nadhani unaelewa nini maana ya JAMII forum, angetaka angeenda kupost huko, ila humu ukipost tunacomment.
 
Back
Top Bottom