johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Chukueni tahadhari zote!Je ni ukweli huo au vitisho vya kuvuruga tamasha
Weeee !!! sema Thuuuu !!Wajiangalie tu na Corona.
Leo mdogo wake Hanspoppe amefariki dunia!
Aliyefariki alikuwa Kaka yake, mdogo wao tena?Wajiangalie tu na Corona.
Leo mdogo wake Hanspoppe amefariki dunia!
Wasiliana na mchungaji Msigwa kwa taarifa zaidi za Iringa!Weeee !!! sema Thuuuu !!
Ndo hapo sasa [emoji35][emoji35][emoji35][emoji848][emoji848]Leta ushahidi wa hao wanaopinga na sio porojo tu,
Unaposema wengi wanapinga una maanisha hao wengi ni idadi gani? ni wengi ukiwalinganisha na kina nani?
Ulitaka Bibi yako ndio awe mgeni rasmi?
Mara mia mgeni rasmi angekuwa Pierre LiquidNdo hapo sasa [emoji35][emoji35][emoji35][emoji848][emoji848]
ebu tuwe serious na soka, achaneni na milembe milembe huyoView attachment 1944495
Job Ndugai ni Spika wa Bunge la Tanzania , huu ni wadhifa mkubwa mno, mtu mwenye cheo hiki anastahili kupendwa na kuheshimiwa na kila mtu katika nchi hii , Huyu ni kiongozi wa Mhimili muhimu mno wa Bunge.
Lakini cha kushangaza ni hiki , Baada ya uongozi wa Simba kumteua Ndugai kuwa Mgeni Rasmi kwenye Tamasha muhimu la Simba day watu wengi wameshang'aa na kupigwa butwaa , wengi wanapinga Ndugai kupewa heshima hiyo huku wakidai hastahili , si mwanamichezo na wala hana mvuto kwenye siasa za nchi hii , kimsingi kumteua huyu kuwa Mgeni rasmi kumeleta kama nuksi kwenye Tamasha hilo , Ni kama kuweka nazi kwenye supu .
Wako waliojiapiza kwamba Muda ambao Ndugai ataingia uwanjani wao watajiondokea zao , hata kama wamelipa pesa zao.
Kwa mnajua mambo ya namna hii, Jambo hili ni ishara ya kitu gani?
[emoji38][emoji38][emoji38]
Najua mashabiki maandazi watakuja kukupinga Ila huuu ndo ukkweli kabisaHii ni MO day, na siyo Simba day,
Mwenye sherehe ndiyo amemualika mwana CCM mwenzake awe mgeni rasmi, so huwezi kumpangia,
Simba wakitaka mgeni wao awe nani waandae
Hii ni MO day, na siyo Simba day,
Mwenye sherehe ndiyo amemualika mwana CCM mwenzake awe mgeni rasmi, so huwezi kumpangia,
Simba wakitaka mgeni wao awe nani waandae sherehe yao.
sherehe yao.
View attachment 1944495
Job Ndugai ni Spika wa Bunge la Tanzania , huu ni wadhifa mkubwa mno, mtu mwenye cheo hiki anastahili kupendwa na kuheshimiwa na kila mtu katika nchi hii , Huyu ni kiongozi wa Mhimili muhimu mno wa Bunge.
Lakini cha kushangaza ni hiki , Baada ya uongozi wa Simba kumteua Ndugai kuwa Mgeni Rasmi kwenye Tamasha muhimu la Simba day watu wengi wameshang'aa na kupigwa butwaa , wengi wanapinga Ndugai kupewa heshima hiyo huku wakidai hastahili , si mwanamichezo na wala hana mvuto kwenye siasa za nchi hii , kimsingi kumteua huyu kuwa Mgeni rasmi kumeleta kama nuksi kwenye Tamasha hilo , Ni kama kuweka nazi kwenye supu .
Wako waliojiapiza kwamba Muda ambao Ndugai ataingia uwanjani wao watajiondokea zao , hata kama wamelipa pesa zao.
Kwa mnajua mambo ya namna hii, Jambo hili ni ishara ya kitu gani?
Hata kama ni kualika kiongozi kuwa mgeni rasmi basi angalau awe kiongozi mwenye maadili sio hawa wahuniView attachment 1944495
Job Ndugai ni Spika wa Bunge la Tanzania , huu ni wadhifa mkubwa mno, mtu mwenye cheo hiki anastahili kupendwa na kuheshimiwa na kila mtu katika nchi hii , Huyu ni kiongozi wa Mhimili muhimu mno wa Bunge.
Lakini cha kushangaza ni hiki , Baada ya uongozi wa Simba kumteua Ndugai kuwa Mgeni Rasmi kwenye Tamasha muhimu la Simba day watu wengi wameshang'aa na kupigwa butwaa , wengi wanapinga Ndugai kupewa heshima hiyo huku wakidai hastahili , si mwanamichezo na wala hana mvuto kwenye siasa za nchi hii , kimsingi kumteua huyu kuwa Mgeni rasmi kumeleta kama nuksi kwenye Tamasha hilo , Ni kama kuweka nazi kwenye supu .
Wako waliojiapiza kwamba Muda ambao Ndugai ataingia uwanjani wao watajiondokea zao , hata kama wamelipa pesa zao.
Kwa mnajua mambo ya namna hii, Jambo hili ni ishara ya kitu gani?
Tutampinga Ndugai kila atakapokuwepoYaani wewe kila kitu unakipeleka kisiasa siasa, yaani upuuzi upuuzi mwingi mpaka kwenye maswala ambayo sio ya kisiasa yaani UPUUZI.
Si shangai nyie si mnajitoaga ufahamu,so endelea kujitoa ufahamu.Tutampinga Ndugai kila atakapokuwepo
Umeshamalizana na ngedere huko shambani kwako kimanze Chana??Huu ushamba wa mashabiki wa tanzania unatia kinyaa
What's so special with simba day or mwananchi day
Kwani kakuita kwenye comment yake au kiherehere chako tuu na kudandia mwendokasi kwa mbele??Yaani wewe kila kitu unakipeleka kisiasa siasa, yaani upuuzi upuuzi mwingi mpaka kwenye maswala ambayo sio ya kisiasa yaani UPUUZI.
Hamna mwenye comment yake, hii comment kaiandika humu jamii forum,nadhani unaelewa nini maana ya JAMII forum, angetaka angeenda kupost huko, ila humu ukipost tunacomment.Kwani kakuita kwenye comment yake au kiherehere chako tuu na kudandia mwendokasi kwa mbele??