UshauriWanajf habari zenu nna eneo langu nataka nianze ujenzi so nikaamua kutafuta karamani simple cha rooms tatu but nikaona nishare nanyi wadau nini cha kuongeza nini cha kupunguza kwenye ramani hii View attachment 2453475
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ndio maana nimeleta ramani mnipe ushauriTatizo watanzania tunaamini ili nyumba iwe nzuri ni lazima iwe na kona kona kibao [emoji276]sasa makorokoro yote ya nini,sasa stoo utakuwa unafuga paka kiongozi?
We Mwigulu unaiba Sana Kodi zetuTatizo watanzania tunaamini ili nyumba iwe nzuri ni lazima iwe na kona kona kibao [emoji276]sasa makorokoro yote ya nini,sasa stoo utakuwa unafuga paka kiongozi?
We Mwigulu unaiba Sana Kodi zetu
Aisee huu Mwaka lazima umtolee Mungu sadaka , maana Kama kuiba umeiba Sana .Mama anaupiga mwingi [emoji28]
Poa nimekusoma MnyirambaTatufa ramani nyingine kiongozi,hiyo ina makorokoro ambayo kimsingi utamtumia pesa nyingi bila manufaa yeyote
Aisee huu Mwaka lazima umtolee Mungu sadaka , maana Kama kuiba umeiba Sana .
Ndio nmeanza kujenga nyumba ya hv nmeinua room 3 na corridor sema kuna marekebisho nimefanya hasa hapo penye mlango wa masterWanajf habari zenu nna eneo langu nataka nianze ujenzi so nikaamua kutafuta karamani simple cha rooms tatu but nikaona nishare nanyi wadau nini cha kuongeza nini cha kupunguza kwenye ramani hii View attachment 2453475
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwani store huwa ni ya matumizi gani kwa mawazo yako? Na kwa nini unadhani nyumba haihitaji kuwa na store?Tatizo watanzania tunaamini ili nyumba iwe nzuri ni lazima iwe na kona kona kibao [emoji276]sasa makorokoro yote ya nini,sasa stoo utakuwa unafuga paka kiongozi?
Kwa mimi mkazi wa Dar es Salaam jiji la joto kila siku nagombana na hawa wachora ramani, kwa nini sebule wanazinyima madirisha ya kutosha?Wanajf habari zenu nna eneo langu nataka nianze ujenzi so nikaamua kutafuta karamani simple cha rooms tatu but nikaona nishare nanyi wadau nini cha kuongeza nini cha kupunguza kwenye ramani hii View attachment 2453475
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
💯🤝Wewe jamaa unajua sana nilitaka niseme jambo hilihiliUshauri
Hii master bedroom ungeihamishia room inayofuata. Lengo ni vyoo vikae upande mmoja ili upunguze kona kona za pipe za maji taka
Kuna feni na AC siku hiziKwa mimi mkazi wa Dar es Salaam jiji la joto kila siku nagombana na hawa wachora ramani, kwa nini sebule wanazinyima madirisha ya kutosha?
Huwezi fananisha hizo takataka na natural ventilationKuna feni na AC siku hizi