Wadau Mercy anamkakati wa kuni-win

Wadau Mercy anamkakati wa kuni-win

Oya hivi una Bass ya Kutosha kumkoromea mtu?

Kama unayo, tumia hiyo kumwambia huyo merci "KUANZIA LEO KAA MBALI NA MAHUSIANO YANGU, NA KAMA HUELEWI NACHOSEMA BASI KITACHOKUKUTA TUSILAUMIANE".... NIMEMALIZA.
 
Back
Top Bottom