Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,388
- 7,223
Habari wadau,
Matangazo kwangu mimi yamekuwa kero kubwa sana. Yaani huwezi fanya jambo bila kukutana na adds, apps ambazo haina adds ni Whatsapp, Insta na X. Zingine kufungua kabla hujafanya lolote lazima ukutane na tangazo kama siyo video basi pop ups. Video zingine zinaenda Hadi dakika kadhaa.
Wadau nyie mnawezaje kuyazuia haya matangazo ambayo hayatarajiwi?
Matangazo kwangu mimi yamekuwa kero kubwa sana. Yaani huwezi fanya jambo bila kukutana na adds, apps ambazo haina adds ni Whatsapp, Insta na X. Zingine kufungua kabla hujafanya lolote lazima ukutane na tangazo kama siyo video basi pop ups. Video zingine zinaenda Hadi dakika kadhaa.
Wadau nyie mnawezaje kuyazuia haya matangazo ambayo hayatarajiwi?